Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
ila kweli jamaa mumekula kiapo cha kutunza siri kama makarani wa sensa duh !!! yaani hamthubutu japo kudokeza kidogo hilo jina
Wanaemjadili hatuwezi kumtaja kwa sasa ila nadhani watafanya press conference baada ya kikao hivyo watamuanika rasmi, nasikia wameamua kumuita oili chafu eti hawamtaki tena lakini najua taifa zima litatikisika sababu huyu ni mtu mkubwa sana anahamia Chadema. na magamba wanamuogopa sana
MKUU UNAIFANANISHA NA HII YA MAY 2012, ILE NI YA LEO, NDIO STYLE YAO KIKAO CHA MAJINI
kuwa mvumilivu, tutamtaja leo hii
kumbe ikulu kuzuri hivi
Je kama hapo ni ikulu? Kuna uhalali gani wa vikao vya NEC ya wana-magamba kukutana ikulu?
wamekosa watu Mkutano wao wa london.sasa wanatafuta njia za kudanganya watu mara waseme wasomi wakati wasomi wenyewe wanabeba maboksi hapa reading kila mtu anajua.wanadanganya ASERI msomi wakati hana hata diploma.wamekuja na nyingine wana ambulance.wanataka Lema aanze vurugu arusha wakati si mbunge.sasa kama hamuwezi kumtaja mmeanzisha thread ya nn? acheni kuzengua watu!
Chris Lukosi.kuwa mvumilivu, tutamtaja leo hii
Wamekimbia hata kujibu hoja zako. Aseri Katanga ni bogus jana kadhirisha hamna kitu.anatoa picha za JK eti wananchi tizameni nilipiga picha na rais kikwete ameona dili kubwa.angekuwa mtu makini angesema kuwa hivi ni vyeti vyangu.hana shule anapiga care na maboksi kama lusingu PhD yenye mashaka.wamekosa watu Mkutano wao wa london.sasa wanatafuta njia za kudanganya watu mara waseme wasomi wakati wasomi wenyewe wanabeba maboksi hapa reading kila mtu anajua.wanadanganya ASERI msomi wakati hana hata diploma.wamekuja na nyingine wana ambulance.wanataka Lema aanze vurugu arusha wakati si mbunge.
Nadhani sasa najua wewe ni nani,Wamekimbia hata kujibu hoja zako. Aseri Katanga ni bogus jana kadhirisha hamna kitu.anatoa picha za JK eti wananchi tizameni nilipiga picha na rais kikwete ameona dili kubwa.angekuwa mtu makini angesema kuwa hivi ni vyeti vyangu.hana shule anapiga care na maboksi kama lusingu PhD yenye mashaka.