mwanza_kwetu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 693
- 181
Press release
Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM kesho atahamia Chadema saa 4 asubuhi kifuatia wwna arusha kukatishwa tamaa na mchakato uliomtoa kipenzi wa watu na vijana wa CCM ndugu Edward Lowasa hivyo wajumbe wengi huenda wakaungana nae muda huo au huo utakuwa mwanzo yu wa mafuriko kutokana na mchakato kutokuwa wa wazi na ukweli na ambao ni dhahiri uligubikwa na maslahi binafsi na ugomvi wa kifamilia. Kijana wa JK saa chache kabla ya pilika pilika kuanza za kukata majina hayo alikaririwa akisema rais hawezibkutoka kanda ya kaskaziniblabda mpaka afariki dunia yeye. Chanzo cha habari hii ni ukurasa wa facebook wa mjumbe huyo ndugu Julius Kalanga
Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM kesho atahamia Chadema saa 4 asubuhi kifuatia wwna arusha kukatishwa tamaa na mchakato uliomtoa kipenzi wa watu na vijana wa CCM ndugu Edward Lowasa hivyo wajumbe wengi huenda wakaungana nae muda huo au huo utakuwa mwanzo yu wa mafuriko kutokana na mchakato kutokuwa wa wazi na ukweli na ambao ni dhahiri uligubikwa na maslahi binafsi na ugomvi wa kifamilia. Kijana wa JK saa chache kabla ya pilika pilika kuanza za kukata majina hayo alikaririwa akisema rais hawezibkutoka kanda ya kaskaziniblabda mpaka afariki dunia yeye. Chanzo cha habari hii ni ukurasa wa facebook wa mjumbe huyo ndugu Julius Kalanga