Wanaponda African football league kumbe wanaitamani ila wanakaza tu midomo
Ficha ujinga wako
Alivyo mjinga kaandika super cupWalivyopangilia vitimu hapo kama kweli vile
Sioni kama kuna tatizo eti. Hayo ni maoni yake. Na ana uhuru wa kuchagua timu aipendayo. Na wala msimlazimishe afanye yale mpendayo nyinyi.
Mbona kuna watu humu jukwaani walifikia mpaka hatua ya kujiita USM ALGER, Marumo Gallants, kuna Mapopoma yalisema waziwazi yanazitakia ushindi timu zilizocheza dhidi ya Yanga mashindano ya Kimataifa msimu uliopita!! Lakini tuliwaacha wafanye vile wapendavyo?
By the way, simba haina uwezo wa kumtoa Al Ahly katika mashindano yoyote yale.
Power Dynamos anawasubiriila inaumiza sana. Yaani unafika fainali ya kombe la shirikisho halafu unaambiwa haustahili kushiriki ligi yenye vilabu bora nane?
Hawa shughuli imeshaisha, tunawasubiri El MereikhPower Dynamos anawasubiri
AahaaaaaHawa shughuli imeshaisha, tunawasubiri El Mereikh
Enyimba ina ubora gani? Klabu ubingwa imeshatolewa preliminary stage.ila inaumiza sana. Yaani unafika fainali ya kombe la shirikisho halafu unaambiwa haustahili kushiriki ligi yenye vilabu bora nane?