Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,511
- 45,853
kwaiyo kuangua kilio mpaka kulazwa kwel noma.
Inategemea na inatokea sana wengine huwa na maradhi ya moyo kupata mshtuko kama huo acha kulazwa hosp huwa wanakata roho
kwaiyo kuangua kilio mpaka kulazwa kwel noma.
Hawana maana yoyote pale dodoma, ila ataimiss mipasho na zomea zomea, RIP fatherMtu aliyekaa kwenye kiti anaangukaje? au kiswahili kimekupiga chenga? nikusaidie 'Mjumbe mmoja Ziana Mohamed kundi la 201 toka vyuo vikuu Zanzibar aangua kilio bungeni' baada ya kupata taarifa ya msiba wa mzazi wake (usiwe na tabia ya Kiukawa ukawa)
Ni wa Interahamwe.
Mjumbe mmoja wa bunge maalum ambaye sikubaatika kupata jina lake mapema
Amedondoka ndani ya bunge hilo baada ya kupokea taarifa za kifo cha baba yake mzazi gafla kwa njia ya sms
Nimejiuliza hao ndugu Zake ni washeinzi kiasi gani hata washindwe kupitisha taarifa hizo kwa mwenyekiti na baadae muhusika apewe na uongozi wa bunge
Au walitaka naye afe ili warithi
hyo mjumbe vipi ni wa serikali 3 au INTERAHAMWE nataman ni yule wa mipasho asha bakari
siku hizi anaitwa Asha Mabusha sio Bakari tena!
Au wa- R. I. P kabisa.Waanguke tu na ikiwezekana warudi makwao tu.
Mjumbe mmoja wa bunge maalum ambaye sikubaatika kupata jina lake mapema
Amedondoka ndani ya bunge hilo baada ya kupokea taarifa za kifo cha baba yake mzazi gafla kwa njia ya sms
Nimejiuliza hao ndugu Zake ni washeinzi kiasi gani hata washindwe kupitisha taarifa hizo kwa mwenyekiti na baadae muhusika apewe na uongozi wa bunge
Au walitaka naye afe ili warithi
Mbona jamaa hakueleza kuwa ameangua kilio! Alichosema ni kuanguka kutoka kwenye kiti hadi sakafuni ndipo akabebwa na kutolewa nje!Mtu aliyekaa kwenye kiti anaangukaje? au kiswahili kimekupiga chenga? nikusaidie 'Mjumbe mmoja Ziana Mohamed kundi la 201 toka vyuo vikuu Zanzibar aangua kilio bungeni' baada ya kupata taarifa ya msiba wa mzazi wake (usiwe na tabia ya Kiukawa ukawa)
Anazimia nini na hela ya maziko anayo!!!!?????
Atachaguliwa na watu wa kumsindikiza kabisa??!!!
Hawakuweka muongozo wa wataofiwa???!!!!
Siku akiambiwa masikini kafiwa ataelewa sasa maana yeye na uwezo kazimika ndo ataelewa uchungu wa masikini wanapofiwa!!!!!
Wanaopata msiba wako wengi sna tukifanya km habari n km hatutendei haki jukwaa. Napita
Ha haaaaa haaa taratibu mkuu!!!mimi siamini kweli kama kafiwa! itakuaje kifo kinatokea kipindi cha mwisho mwisho wa kikao chao? hii ni deal ya kutaka kuchangiwa na wenzake na hata ikipidi Spika na wenzake! anajua bunge linaahirishwa mpaka august na laki 3 ndio hamna tena! yaani hapa wamekutana matapeli na vibaka na sijui kama katiba itapatikana mwaka huu mpaka kwanza wamalize miradi yao huko kwao ndipo waje kuipitisha katiba!