Mjumbe wa bunge la katiba aanguka Bungeni.

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,496
54,913
Wakati bunge linaendelea kuna mjumbe mmoja wa Bunge la Katiba Kaanguka na kubebwa kupelekwa nje. Kwa walioko bungeni wanaweza kutujuza kilichompata.

Mimi nimeona kupitia TBC1.

Thursday, 24 April 2014 07:57

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, alazimika kusitisha kikao kwa muda asubuhi hii mara baada ya mgeni wa Bunge hilo kuangua kilio ghafla baada ya kupata taarifa za msiba.

UPDATES
Mjumbe aliyeangua kilio Bungeni leo ni Zeyana M. Haji toka Zanzibar, ambaye amefiwa na baba ake. taarifa zinasema kuwa mjumbe huyo amelazwa katika hospitali ya rufaa dodoma kwa sababu ya mshtuko
 
hyo mjumbe vipi ni wa serikali 3 au INTERAHAMWE nataman ni yule wa mipasho asha bakari
 
Amepewa taarifa ya msiba wa mzee wake,interahamwe mmoja akasema tuzime simu!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Eeh ni maradhi tu lakini Mungu na ampe afya tele arudi kwenye mchakato wa katiba.
 
Mjumbe mmoja wa bunge maalum ambaye sikubaatika kupata jina lake mapema
Amedondoka ndani ya bunge hilo baada ya kupokea taarifa za kifo cha baba yake mzazi gafla kwa njia ya sms
Nimejiuliza hao ndugu Zake ni washeinzi kiasi gani hata washindwe kupitisha taarifa hizo kwa mwenyekiti na baadae muhusika apewe na uongozi wa bunge
Au walitaka naye afe ili warithi
 
Mie kwa sababu labda nna roho ngumu na niko focused sana. Mtu mzima ukisikia kifo cha mtu wako wa karibu unazimia ama kuanguka? Pole yake maskini, anahitaji somo kutoka kwa FaizaFoxy. Hata kesho unaweza kuona thread hapa King'asti hatunaye!
 
Last edited by a moderator:
Anazimia nini na hela ya maziko anayo!!!!?????
Atachaguliwa na watu wa kumsindikiza kabisa??!!!
Hawakuweka muongozo wa wataofiwa???!!!!

Siku akiambiwa masikini kafiwa ataelewa sasa maana yeye na uwezo kazimika ndo ataelewa uchungu wa masikini wanapofiwa!!!!!
 
Mjumbe mmoja wa bunge maalum ambaye sikubaatika kupata jina lake mapema
Amedondoka ndani ya bunge hilo baada ya kupokea taarifa za kifo cha baba yake mzazi gafla kwa njia ya sms
Nimejiuliza hao ndugu Zake ni washeinzi kiasi gani hata washindwe kupitisha taarifa hizo kwa mwenyekiti na baadae muhusika apewe na uongozi wa bunge
Au walitaka naye afe ili warithi

Wanahitaji posho zake waendeshee msiba.......na yeye ile kuwaza kupungua posho akazimia
 
Wakati bunge linaendelea kuna mjumbe mmoja wa Bunge la Katiba Kaanguka na kubebwa kupelekwa nje. Kwa walioko bungeni wanaweza kutujuza kilichompata.

Mimi nimeona kupitia TBC1.

Mtu aliyekaa kwenye kiti anaangukaje? au kiswahili kimekupiga chenga? nikusaidie 'Mjumbe mmoja Ziana Mohamed kundi la 201 toka vyuo vikuu Zanzibar aangua kilio bungeni' baada ya kupata taarifa ya msiba wa mzazi wake (usiwe na tabia ya Kiukawa ukawa)
 
Mtu aliyekaa kwenye kiti anaangukaje? au kiswahili kimekupiga chenga? nikusaidie 'Mjumbe mmoja Ziana Mohamed kundi la 201 toka vyuo vikuu Zanzibar aangua kilio bungeni' baada ya kupata taarifa ya msiba wa mzazi wake (usiwe na tabia ya Kiukawa ukawa)

kwaiyo kuangua kilio mpaka kulazwa kwel noma.
 
Back
Top Bottom