stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,839
- 22,956
Teknolojia imebadilika sana mkuu,hapa utawapata wale wakongwe tu,sasa hivi movies ni nyingi sana na unazipata kiganjani tu kwenye smartphone yako,ukimwambia mtu asome kitabu hakuelewi,sio vitabu vya hadithi tu hata elimu pia imehamia mtandaoni,yale mambo ya kuwa na mavolume ya vitabu ni outdated kabisa kwa kizazi cha sasa...Hakika huu ni uzi pendwa sana.. Lakini cha kushangaza wadau watapita kama hawahuoni vile! KUSOMA VITABU KUNAONGEZA MAARIFA NA AKILI.