Kuna wanafunzi ambao au ndio wanaingia Secondary, au wanavuka kutoka kidato kimoja kwenda kingine. Katika hali zote, kuna mahitaji ya kununua vitabu vipya vya masomo kwa wale wanaoendelea na shule.
Kutokana na bajeti ya vitabu kuwa kipengele, ingekuwa bora kwa yule anayeenda kidato cha juu, kuuza vitabu vyake kwa yule anayeingia kidato cha chini.
Hivyo uzi huu ni kuwashawishi wale wenye vitabu vya Secondary ambavyo hawavihitaji tena kuweka titles za vitabu, bei na njia ya mawasiliano ili amsaidie mzazi/mwanafunzi ambaye hawezi kununua vitabu vipya 15 kwa mkupuo.
Nawakilisha.
Kutokana na bajeti ya vitabu kuwa kipengele, ingekuwa bora kwa yule anayeenda kidato cha juu, kuuza vitabu vyake kwa yule anayeingia kidato cha chini.
Hivyo uzi huu ni kuwashawishi wale wenye vitabu vya Secondary ambavyo hawavihitaji tena kuweka titles za vitabu, bei na njia ya mawasiliano ili amsaidie mzazi/mwanafunzi ambaye hawezi kununua vitabu vipya 15 kwa mkupuo.
Nawakilisha.