Big NO! Kuwa wakili hakufanyi mtu awe mhalifu au kupata adhabu ya kufariki. Tena huu ni unafiki mkubwa sana. Kuna mijizi ya mali za umma inayofanya watu wafe kwa maelfu na inadunda tu. Hivi unajua kwanza kazi ya wakili ni nini? Kazi ya wakili ni kushirikiana na hakimu/jaji pamoja na upande wa mashtaka kuhakikisha kesi inafanyika kwa kufuata utaratibu uliowekwa.
Sawa mkuu! Ila Aneth Msuya angekuwa ni dada yako wa kuzaliwa leo BP yako ingekuwa 200 baada ya kupokea hii hukumu.
 
Sawa mkuu! Ila Aneth Msuya angekuwa ni dada yako wa kuzaliwa leo BP yako ingekuwa 200 baada ya kupokea hii hukumu.
Nimekuambia kuwa tatizo lako unatumia hisia zaidi badala ya sheria. Sasa huoni huyo aliyeachiwa naye angefungwa kama alikuwa hajatenda ingekuwa siyo vizuri? Kuna kukata rufaa na kama vipi wanatakiwa wakate. Kimsingi mimi silalamiki kwa sababu siyo nakubali kuwa hakuua, bali sina ushahidi wa kuwa aliua na wala sijui kesi iliendaje, na ni ushahidi gani ulitolewa.
 
Nimekuambia kuwa tatizo lako unatumia hisia zaidi badala ya sheria. Sasa huoni huyo aliyeachiwa naye angefungwa kama alikuwa hajatenda ingekuwa siyo vizuri? Kuna kukata rufaa na kama vipi wanatakiwa wakate. Kimsingi mimi silalamiki kwa sababu siyo nakubali kuwa hakuua, bali sina ushahidi wa kuwa aliua na wala sijui kesi iliendaje, na ni ushahidi gani ulitolewa.
Let's assume wewe ni kaka wa Aneth Msuya, baada ya hii hukumu ya leo. Ungefanyaje?
 
Sasa muuaji ni nani? Serikali itaendelea kufanya utafiti wa kumpata muuaji au kesi ndiyo itakuwa imeishia hapo?
Hawa wahusika walioachiwa huru wana haki ya kudai fidia ya usumbufu miaka nane,na muda walioupoteza huko ili hali hawakuwa na hatia.
 
Hukumu iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu, ya mjane wa bilionea wa madini, Bilionea Msuya, Miriam Steven kusomwa leo.

Miriam pamoja na mshtakiwa mwenzake, Revocatus Everist Muyella, maarufu kama Ray, wanakabiriwa na shtaka la mauaji ya kukusudia, wanadaiwa kumuua kwa kumchinja, Aneth Elisaria, mdogo wa marehemu bilione Msuya.

Hukumu hiyo inatarajiwa kusomwa na Jaji Edwin Kakolako, ambayo ndiyo itaamua hatima yao kama wana hatia au lah. Kama watakutwa na hatia hukumu ni kunyongwa hadi kufa.

Watuhumiwa wamekuwa mahabusu kwa nane na leo ndio hatima yake, je, nini kitatokea leo Mambo yatakuwaje? Nini itakuwa hukumu ya kesi hii? Mke wa Msuya na mwenzake watakutwa na hatia au lah?

Mjane wa Bilionea Msuya alikuwa anatetewa na Wakili Peter Kibatala.

Familia ya hovyo sana hii
 

Wakili Peter Kibatala akielezea kesi ya mjane wa Bilionea Msuya baada ya Mahakama Kuu kumwachia huru Miriam Mrita.

"Watu wa Arusha nawatania kidogo, nimewaletea dada yenu, wifi yenu na shemeji yenu, hatudaiani tena" - Peter Kibatala Wakili wa Mjane wa Bilionea Msuya.

Pia soma:
- Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haikumkuta na hatia
 
Kuna Afisa mtendaji wa kata aliua mtu kijijini kwetu tena dogo wa miaka 10 alikuwa mchunga, sasa yule afisa kwakuwa shamba lake liliwahi kutiwa mifugo akawa na hasira na wachunga akawa akiwaona anawafukuza ili awashike wakawa wanamkimbia sasa siku ya siku ndipo akamshika huyo dogo akamgeuza kichwa chini miguu juu akawa anamtikisa baadae akamuacha ila wakati huo wenzie waliokimbia wakaja kusimulia kijijini kuwa fulani kashikwa baada ya muda dogo karudi hata kuongea hawezi wakamkimbiza hospital akafariki,,kesi ikaenda mahakamani afisa akashinda kwasababu hakukuwa na ushahidi wa kumtia hatiani...ndugu wakakaa pamoja wakaja kwenye mahakama ya jadi yule jamaa aliumwa sana akaja kuomba radhi kwasababu hospital hauonekani ugonjwa mpaka akaja kufariki kwa mateso sana
Hiii ndo inatumika sana kwetu, watu wanapigwa tego anahaha nalo huko.
 
Ile kesi ilihitaji majaji mahiri kama akina Lugakingira, sio hawa UPE! Kakolaki hawezi ku handle kesi kama hiyo..... tuwekee hapa tuipite tuone reasoning ya Judge!
Shida sio kakolaki.

Kakolaki ni mzoefu kwenye kesi za jinai kafanya miaka mingi tangia akiwa wakili aa serikali , kapitia pia tume ya kupambana na madawa ya kulevya, huko ndiko anakopajua.

Tatizo lipo kwenye upepelezi, haufanyiki vizuri, niliwahi kushauri hapa na pia tume ya haki iliyoundwa na kumpa ripoti Rais Samia ilikuja na maoni kama hayo kuwa iundwe taasisi maalum ya upelelezi wa makosa ya jinai.

Bila kufanya hivyo tutarudi hapa kulaumiana kila siku.
 
Back
Top Bottom