peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 13,392
- 22,181
Sawa mkuu! Ila Aneth Msuya angekuwa ni dada yako wa kuzaliwa leo BP yako ingekuwa 200 baada ya kupokea hii hukumu.Big NO! Kuwa wakili hakufanyi mtu awe mhalifu au kupata adhabu ya kufariki. Tena huu ni unafiki mkubwa sana. Kuna mijizi ya mali za umma inayofanya watu wafe kwa maelfu na inadunda tu. Hivi unajua kwanza kazi ya wakili ni nini? Kazi ya wakili ni kushirikiana na hakimu/jaji pamoja na upande wa mashtaka kuhakikisha kesi inafanyika kwa kufuata utaratibu uliowekwa.