MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Wanaharakati leo BBC watakuwa na mjadala wa katiba ya Tanzania jioni..
Hebu jaribuni kubeba japo headphone zenu kama wakichukua umeme wao tusikose neno la faraja toka kwa watakaoshiriki..Washiriki hawajajulikana bado, Ila kuna wakenya watatoa maoni yao...
Let us wait..
Ambao hawakusikia matangazo haya yanapatikana kwenye hii link: http://www.bbc.co.uk/swahili/audio_console.shtml?programme=swa1530
Hebu jaribuni kubeba japo headphone zenu kama wakichukua umeme wao tusikose neno la faraja toka kwa watakaoshiriki..Washiriki hawajajulikana bado, Ila kuna wakenya watatoa maoni yao...
Let us wait..
Yaani jamaa anajikanyaga mwenyewe kwenye maelezo yake na kweli Chadema wana sababu ya kukataa....
Jamaa wa Kenya katoa ushauri mkubwa sana na serikali ishuke chini ikubali huu mchakato ni lazima uanze kwa maelewano makubwa pande zote..
Nilikuwa nitoke Chadema lakini sitokiiiii hata kwa kubanduliwa kama Gamba..
Peoplesssss Powerrrr
Ambao hawakusikia matangazo haya yanapatikana kwenye hii link: http://www.bbc.co.uk/swahili/audio_console.shtml?programme=swa1530