Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,792
- 3,722
Chadema wasisuse tena kusilikiza bbc ni kwa faida yetu sote tusikilize jamani
nyambafu kabisa,unaishi kwa kukariri?
Chadema wasisuse tena kusilikiza bbc ni kwa faida yetu sote tusikilize jamani
Wanaharakati leo BBC watakuwa na mjadala wa katiba ya Tanzania jioni..Hebu jaribuni kubeba japo headphone zenu kama wakichukua umeme wao tusikose neno la faraja toka kwa watakaoshiriki..Washiriki hawajajulikana bado, Ila kuna wakenya watatoa maoni yao...Let us wait..
bbc kiswahili ipo saa 12.30 jioni pambafu maswali gani haya
nyambafu kabisa,unaishi kwa kukariri?
we cr wa prob si umeshaambiwa beba simu mkuu. Nawe fofofo acha hasira bwana watu wengine huwa hawajui ratiba za redio za kigeni
taratibu kamanda!
Wanaharakati leo BBC watakuwa na mjadala wa katiba ya Tanzania jioni..Hebu jaribuni kubeba japo headphone zenu kama wakichukua umeme wao tusikose neno la faraja toka kwa watakaoshiriki..Washiriki hawajajulikana bado, Ila kuna wakenya watatoa maoni yao...Let us wait..
Masaburi we mwehubbc kiswahili ipo saa 12.30 jioni pambafu maswali gani haya
bbc kiswahili ipo saa 12.30 jioni pambafu maswali gani haya
bbc kiswahili ipo saa 12.30 jioni pambafu maswali gani haya
Haitoshi, si u-update 1st post na kueleza kilichoongelewa?It was great
Hakuna kitu, wametumia saa nzima kubishania kanuni na kusahau hoja za msingi. Bora angealikwa Rev. Mtikila au Mkinga tungepata point za maana.It was great
Hawa BBC ni pro-CCM mno. Msitegemee chochote cha maana.
Waliwabeba sana kwenye uchaguzi mkuu na kuhalalisha ushindi wao wa mashaka hata kabla ya uchakachuaji.
Ukweli ni kwamba vyombo kama BBC na CNN vinasikia zaidi upande wa watawala wetu kwa sababu wanakutana na maofisa wao na kuzungumza nao kwa lugha wanayoielewa, yaani English. Chadema na Peoples Power zinazungumza kwa kiswahili ambacho hawa CNN na BBC hawakielewi kabisa.
Haitoshi, si u-update 1st post na kueleza kilichoongelewa?