Mjadala: TCU kuzuia vijana wa tahasusi ya CBG kusoma shahada za afya

Cbg angeifuta kama ndo huku nasio kuwafanyia hichi kitu .na nilikiona toka mwaka Jana walivyofanya kigezo cha physics ya o level kuwa kigezo cha afya now kwa advance

Sent from my Vodafone 875 using JamiiForums mobile app
 
Ndalichako kuna Ameanza kazi yake ya kutuvuruga Watanzania, Tunahitaji Waziri wa Elimu mzawa halisi, Elimu ni very sensitive huyo Sleeper anatupeleka Chaka tu
 
Ndalichako kuna Ameanza kazi yake ya kutuvuruga Watanzania, Tunahitaji Waziri wa Elimu mzawa halisi, Elimu ni very sensitive huyo Sleeper anatupeleka Chaka tu
Mkuu huyu maza sio mbongo nn

Sent from my IPhone-7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huyu maza sio mbongo nn

Sent from my IPhone-7 using JamiiForums mobile app
Sio mwenyeji halisi Wa Tz uyo, Anataka kuua Elimu yetu ili Siku Tukiungana East Africa basi Vijana kutoka Tz wakose Nafasi Kwa vile wengi Watakuwa na Elimu ya kati, Ww jiulize Mbona kenya hamna restrictions ivi
 
Shahada ya afya ndio coarse gani?be specific

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Hiyo physics ni kwa kidato cha nne lazima ufaulu.

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Hivi vigezo havijaanza leo la watu wanaohitajika katika fani ya afya kuwa lazima wawe PCB hasa medicine na pharmacy. Mimi nimemaliza shule miaka zaidi ya kumi sasa hicho kitu kilikuwepo. Labda haikua wazi kutokana na mfumo mpya wa TCU Ila sio kigeni
Hapana,sio kweli,mi ninawadau zaidi ya Watano,wamesoma CBG,NA WATATU KATI YAO WAMESOMA MD,na mmoja Pharmacia,na Mwingne Clinical Officer,Huo ni Ubabaishaji na kupotezeana Muda na kuharibiana Ndoto..!!!
Kuna ma ma It wazuri saana St.Joseph imewatengeneza na wanafanyaa vema,wakat vigezo ni PCB,pcm,WAP walichukua mpaka CBG,NA EGM NA WANAFANYA POWA,,!!

Sent from my X510 using JamiiForums mobile app
 
Elimu ya Bongo pasua kichwa tu. Yani madogo wanakomaa mpaka wanamaliza, afu ndio wanaambiwa hawawezi kusoma Afya. Hivi physics na chemistry kwenye afya ipi ni bora sana ikichangiwa na Biology.
Chemistry ni bora zaida
maana kuna somo la biochemistry,clinical chemistry,nutrition.Labda wange hainisha kozi zinazohitaji zaidi physics,mimi naona kwa kozi ya radiology physics inafaa zaidi lakin nurse,doctor,pharmacy na lab biology na chemistry ndio inahitajika zaidi.

Ni mtazamo wangu tu.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
TCU imetoa vigezo vya kujiunga na elimu ya juu, Kama wadau wa elimu ningependa tujadili hili swala la mwanafunzi ili kupata nafasi ya kusoma digrii ya afya ni lazima mwanafunzi awe na ufaulu wa somo la fizikia.

Swali la msingi la kujiuliza wameona nini mpaka kuwakatalia vijana wa mwaka huu ilhali miaka iliyopita wanafunzi wa CBG walichaguliwa kusoma shahada hizo?


Sent from my IPhone-7 using JamiiForums mobile app
Inapunguza wimbi la degree holder under 25, wanajua physics ugonjwa wa taifa kwa comb. Za pcm na pcb huwa theory wabovu ila practical wapo pouwa, yaan hapo ngoja na tokeo litoke wamalize kabsa
Halafu kingine serikali inajitengeneze mapato kwa kufanya watu wasome diploma kwa kujilipia
 
Back
Top Bottom