Nitasema machache:
1. Hakikisha CV yako ni yako kweli (usiandike sifa au uzoefu ambao huna!). Kama ni kazi inayotaka uzoefu, maswali mengi yatataka kutest uzoefu wako katika maswala kadhaa. Ni vema ukajiandaa vizuri kuelezea kazi ulizokuwa unafanya, mafanikio na challenges ulizokutanana nazo na jinsi ulivyozitatua.
2. Jaribu kufahamu matarajio (requierements) ya kazi unayoiomba. Interviwer mara nyingi atauliza maswali ili kujiridhisha kama kweli you are up to the job!
3. Jaribu kuifahamu kampuni na shughuli inayofanya (bidhaa, wateja, challenges nk). Hii itakusaidia kujibu baadhi ya maswali. Unakuta mtu anaingia kwenye interview hata jina la kampuni anayoomba kazi anashindwa kulitamka kwa ufasaha halafu eti anaomba kazi ya kuwa afisa uhusiano!
4. Jaribu kufuatilia mambo mbalimbali yanayoendelea duniani(Current issues) na jinsi yanavyohusiana na kazi unayoomba au kampuni au tasnia inayokuhusu.
5. Hobbies,interests etc. Mara nyingi watu wanajiandikia tu kwenye CV hata vitu ambavyo kiukweli hawana interest navyo. Ukisema unainterest na football basi hakikisha kweli unafahamu mambo kadhaa kuhusu football. Au kama unasoma novel, basi kweli iwe unasoma. Si unaulizwa angalau uelezee kwa ufupi novel uliyoisoma karibuni, unaanza kujiuma hata title au muhusika mkuu humkumbuki!
nk, nk, nk
kuvaa kiofisi, kufika mapema katika eneo la usahili, kujiandaa kisaikolojia hasa kwa kujiuliza maswali ambayo unahisi unaweza kuulizwa, ni vyema kuuliza watu wenye uzoefu na usahili ili wakupe michango yao, uwe na uhakika na unachokijibu, kama hujui sema 'haujui' na utakifanyia kazi, usitetemeke, kabla ya usahili vuta pumzi kwa nguvu, usiongee haraka haraka! pia usivae nguo ambazo hunamazoea nazo kiasi cha kukufanya usiwe huru!
Anachotakiwa mtu kama huyu ni kujizoesha kuongea kwenye watu wengi ili kuzoea kadamnasi au watu wengi zaidi. Ni suala la kujiamini tu wala sio ugonjwa huo. Asante kwa kuipenda mada ni kwaajii yetu sote kama jamii kajifunza kwa kubadilishana mawazo na uzoefu hata utaalamu tulio naonimependa hii mada ila wengine ni waoga sana kiasi ile kuona tu panel ya watu zaidi ya five, basi hupata kigugumizi hata jina lake hakumbuki. sasa huyu tutamsaidiaje?
Kama hufahamu kingereza waambie tafadhari tumieni kiswahili
Mfano mzuri tu nilikuwa tanga mwezi wa saba kulikuwa kuan Interview pale mamkla ya maji walio itwa kwa usahili walikuwa wachache sana 4 ila aliye pata job appearance and dress code was mbaya ilikuwa siyo kiofice wana JF alikuwa anamadevu kama osama shirt ya mikono mireku kakunja amenyoa kipara midevu kaiachia.
Pili swala la muda alichelewa kwanza kama 15mins jinalake lilipoitwa kwaajili ya kuingia kwa chumba cha interview walipotaka kumwita mtu mwingine ndio akawa ametokezea na akaingia sasa hapo niambie FL1 akili yake ilikuwa imetulia kweli na akaweza kujibu vizuri na akapata kazi?? mavazi yake na mwonekano wake tu? Ilikuwaje Meza kuu inayo wasahili ilimpitiusha huyo bwana?? Pili ilikuja kugundulika elimu yake ilikuwa ndogo zaidi kuliko ya wale wengine watatu?
Me nadhani kuna tatizo pia kwa jopo au meza kuuu inayowashili wanaoomba kazi.
Mie kwakweli ktk swala la usahili TZ kunavituko na vimbwanga vingi sana.
Pia walioajiliwa wengi wakuta sio elimu walizo somea na ungugunisation ni mkubwa kupita kiasi.