Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
Mimi hujiuliza mtu haoni haya kumwambia mtu amchangie harusi yake? Kwani hili ni jambo la muhali mkubwa sana.
Unawezaje kuomba kwa kitu cha anasa? Kwa nini huridhiki na uwezo wako?
Kuna mawili,
Ama ufanye harusi utakayoalika watu wachache lakini kwa kiwango cha "ufahari" wa kukutosha kwa hizo pesa ulizonazo [Kama wanavyofanya Wazungu]. Harusi nzima mnaalika watu wasiozidi 40 katika kubana matumizi.
Ama ufanye harusi utakayoalika watu wengi lakini ukashusha viwango vya "ufahari" ili kukidhi hizo pesa ulonazo
[Kama harusi za Kiswahili za zamani]. Wageni unawapa sadaka ya chakula kidogo, mnapiga cherekochereko kazi imeisha
Hii ya kutaka kujifakharisha kwa pesa za mwengine, sivyo, ni kujidhalilisha tu
Unawezaje kuomba kwa kitu cha anasa? Kwa nini huridhiki na uwezo wako?
Kuna mawili,
Ama ufanye harusi utakayoalika watu wachache lakini kwa kiwango cha "ufahari" wa kukutosha kwa hizo pesa ulizonazo [Kama wanavyofanya Wazungu]. Harusi nzima mnaalika watu wasiozidi 40 katika kubana matumizi.
Ama ufanye harusi utakayoalika watu wengi lakini ukashusha viwango vya "ufahari" ili kukidhi hizo pesa ulonazo
[Kama harusi za Kiswahili za zamani]. Wageni unawapa sadaka ya chakula kidogo, mnapiga cherekochereko kazi imeisha
Hii ya kutaka kujifakharisha kwa pesa za mwengine, sivyo, ni kujidhalilisha tu