Hii hali ya moyo ni mimi tu ama pia na wengine

Blood of Jesus

JF-Expert Member
Sep 19, 2016
2,955
5,877
Siku zinavyozidi kwenda ni kama ninachoka kutoa michango ya harusi. Lawama zinaongezeka kwangu toka kwa ndugu, jamaa na marafiki wanaohitaji changizo kutoka kwangu- maana kiukweli huwa "ninawatosa". Ifamike pia binafsi sijawahi mchangisha mtu yeyote pesa ya harusi.

je, na ninyi mnapitia hali hii ya kujisikia vibaya baada ya kujulishwa ishu ya kutoa mchango wa sherehe za harusi?

karibuni
 
Siku zinavyozidi kwenda ni kama ninachoka kutoa michango ya harusi. Lawama zinaongezeka kwangu toka kwa ndugu, jamaa na marafiki wanaohitaji changizo kutoka kwangu- maana kiukweli huwa "ninawatosa". Ifamike pia binafsi sijawahi mchangisha mtu yeyote pesa ya harusi.

je, na ninyi mnapitia hali hii ya kujisikia vibaya baada ya kujulishwa ishu ya kutoa mchango wa harusi?

karibuni
1. Kaka niliyelelewa nae nyumba Moja alioa SIKUCHANGA
2. Mshkaji wangu ambae wazazi wake walinilea pia alioa SIKUCHANGA
3. Binamu yangu kindaki ileile alioa SIKUCHANGA
4. Classmate (group WhatsApp) wa A'Level tulioishi ghetto moja walioa SIKUCHANGA
5. Classmate wa Primary wanatarijia kuoa SIWEZI CHANGA.

NB:-
Nachangaga kwenye matatizo tu.
Kwenye sherehe HAPANA
Kwasababu sherehe sio ghafla ni planned ila matatizo hayana hodi.

Sherehe Ina hodi.
Asante.

#YNWA
 
Siku zinavyozidi kwenda ni kama ninachoka kutoa michango ya harusi. Lawama zinaongezeka kwangu toka kwa ndugu, jamaa na marafiki wanaohitaji changizo kutoka kwangu- maana kiukweli huwa "ninawatosa". Ifamike pia binafsi sijawahi mchangisha mtu yeyote pesa ya harusi.

je, na ninyi mnapitia hali hii ya kujisikia vibaya baada ya kujulishwa ishu ya kutoa mchango wa sherehe za harusi?

karibuni


Lawama kila mtu anazo, huwa tunaziba masikio
 
1. Kaka niliyelelewa nae nyumba Moja alioa SIKUCHANGA
2. Mshkaji wangu ambae wazazi wake walinilea pia alioa SIKUCHANGA
3. Binamu yangu kindaki ileile alioa SIKUCHANGA
4. Classmate (group WhatsApp) wa A'Level tulioishi ghetto moja walioa SIKUCHANGA
5. Classmate wa Primary wanatarijia kuoa SIWEZI CHANGA.

NB:-
Nachangaga kwenye matatizo tu.
Kwenye sherehe HAPANA
Kwasababu sherehe sio ghafla ni planned ila matatizo hayana hodi.

Sherehe Ina hodi.
Asante.

#YNWA
hapo kwenye NB, umemaliza:

sherehe ni kitu planned! sio ghafla. anayetaka kuonesha ufahari aoneshe kwa nguvu zake. asiwasumbue watu. nimekusoma mkuu!
 
Siku zinavyozidi kwenda ni kama ninachoka kutoa michango ya harusi. Lawama zinaongezeka kwangu toka kwa ndugu, jamaa na marafiki wanaohitaji changizo kutoka kwangu- maana kiukweli huwa "ninawatosa". Ifamike pia binafsi sijawahi mchangisha mtu yeyote pesa ya harusi.

je, na ninyi mnapitia hali hii ya kujisikia vibaya baada ya kujulishwa ishu ya kutoa mchango wa sherehe za harusi?

karibuni
kwan unalazimisha, si ni hiari kuchangia 🐒

anaomba mchango ni wajibu wake kukuarifu tu kwamba anaomba mchango wako kwaajili ya kufanikisha jambo lake Fulani 🐒

ukimjibu mapema tena kiungwana kwamba huna na wala hutomchangia nadhani ni ustaarabu zaidi, Lakini kuahidi utamchangia halafu unampotezea, huko ni kuharibu au kuhujumu mipango yake 🐒

una watoto wako watakuja kutaka kuoa au kuolewa, Lakini una ndugu jamaa na marafiki zako wa karibu, na wengine yatima wanakuona wewe ni mzazi wao, kuna siku watahitaji kama mzazi wao usimamia kufanikisha ndoa na harusi zao, siku za usoni. Itakua ni fedheha kwako 🐒

unaowatosha leo, I can assure you without fear of contradictions kwamba, utawahitaji kwa hali na mali wafanikishe jambo lako mwenyewe au kwaniaba ya mayatima wanaokutazama wew kama mzazi wao, ufanikishe mambo yao. Utababaika sana 🐒

Ondoa aibu na fedheha hiyo ya baadae unayojiandalia mwenyewe, kwa kushiriki kikamilifu shughuli za wanaokuona ni ndugu, jamaa, rafiki au miongoni mwa wanafamilia wao.
Mambo mengine malipo ni hapa hapa duniani 🐒
 
kwan unalazimisha, si ni hiari kuchangia 🐒

anaomba mchango ni wajibu wake kukuarifu tu kwamba anaomba mchango wako kwaajili ya kufanikisha jambo lake Fulani 🐒

ukimjibu mapema tena kiungwana kwamba huna na wala hutomchangia nadhani ni ustaarabu zaidi, Lakini kuahidi utamchangia halafu unampotezea, huko ni kuharibu au kuhujumu mipango yake 🐒

una watoto wako watakuja kutaka kuoa au kuolewa, Lakini una ndugu jamaa na marafiki zako wa karibu, na wengine yatima wanakuona wewe ni mzazi wao, kuna siku watahitaji kama mzazi wao usimamia kufanikisha ndoa na harusi zao, siku za usoni. Itakua ni fedheha kwako 🐒

unaowatosha leo, I can assure you without fear of contradictions kwamba, utawahitaji kwa hali na mali wafanikishe jambo lako mwenyewe au kwaniaba ya mayatima wanaokutazama wew kama mzazi wao 🐒

Ondoa aibu hiyo ya baadae kwa kushiriki kikamilifu shughuli za wanaokuona ni ndugu, jamaa, rafiki au miongoni mwa wanafamilia wao.
Mambo mengine malipo ni hapa hapa duniani 🐒
Unaijua michango ya siku hizi?
Unaungwa kwenye whatsapp group jina lako lipo kwenye list tayari na kiasi unachotakiwa kutoa.
 
kwan unalazimisha, si ni hiari kuchangia

anaomba mchango ni wajibu wake kukuarifu tu kwamba anaomba mchango wako kwaajili ya kufanikisha jambo lake Fulani

ukimjibu mapema tena kiungwana kwamba huna na wala hutomchangia nadhani ni ustaarabu zaidi, Lakini kuahidi utamchangia halafu unampotezea, huko ni kuharibu au kuhujumu mipango yake

una watoto wako watakuja kutaka kuoa au kuolewa, Lakini una ndugu jamaa na marafiki zako wa karibu, na wengine yatima wanakuona wewe ni mzazi wao, kuna siku watahitaji kama mzazi wao usimamia kufanikisha ndoa na harusi zao, siku za usoni. Itakua ni fedheha kwako

unaowatosha leo, I can assure you without fear of contradictions kwamba, utawahitaji kwa hali na mali wafanikishe jambo lako mwenyewe au kwaniaba ya mayatima wanaokutazama wew kama mzazi wao, ufanikishe mambo yao. Utababaika sana

Ondoa aibu na fedheha hiyo ya baadae unayojiandalia mwenyewe, kwa kushiriki kikamilifu shughuli za wanaokuona ni ndugu, jamaa, rafiki au miongoni mwa wanafamilia wao.
Mambo mengine malipo ni hapa hapa duniani
watoto ninao. wataoa/wataolewa kwa gharama za kawaida, sitochangisha mtu. kwenye matatizo kumsaidia mtu kuna thawabu. kwenye matatizo huwa ninawasaidia watu kwa ajili ya Mungu, huwa siwasaidii kana kwamba "ninawakopesha". siku nikipata shida hata wasiponisaidia ni sawa tu. wapo wengine watakaonisaidia. nimejifunza kumtegemea Mungu kuliko wanadamu.
 
Screenshot_20230516-131244.jpg
 
watoto ninao. wataoa/wataolewa kwa gharama za kawaida, sitochangisha mtu. kwenye matatizo kumsaidia mtu kuna thawabu. kwenye matatizo huwa ninawasaidia watu kwa ajili ya Mungu, huwa siwasaidii kana kwamba "ninawakopesha". siku nikipata shida hata wasiponisaidia ni sawa tu. wapo wengine watakaonisaidia. nimejifunza kumtegemea Mungu kuliko wanadamu.
usishupaze shingo sana kwenye hili, basi walau usijionyeshe mpaka jamii ikajua uko hivyo 🐒

fedheha na aibu utakayoibeba kwa wakati muafaka na kwa namna ya kipekee sana, itakuumiza kukutafuna mwenyewe ukiwa chumbani kwako mwenyewe kwa mawazo, hutakua na nguvu wala ujasiri wa kumuendea yeyote akusaidie, wala kumuomba huyo Mungu unaedhani ni wako pekeyako.

Hakuna alie mkamilifu.binadamu tunategemeana kufikia ukamilifu wa hali na mipango yetu. Huna sababu ya kujitenga 🐒
Mungu ni wa wote na kila moja anamtegemea huyo.
 
Mm huwa sichangiagi sherehe sijui harusi ,,,, !
Sifanyi huo ujinga ! Nishakosana na washkaji kadhaa kisa mambo ya michango,,,,

Unakuta mwana anakauka na mm nakauka, sitaki mazoea!

Kuna upuuzi unaendelea mtu anakwambia birthday yabgu siku flan unanichangia nini ? Dah Nachoka !

Matatizo kama misiba n.k huwa nachanga!
 
Mtu anayeoa kwa sasa namuona mjinga sana. Anayeomba mchango wa harusi ni mpumbavu sana.
 
Back
Top Bottom