KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,143
- 32,889
Kwa tabu ninayoipata kwa kulala humu store...nakupongeza sana mkuu....umefanya kitu cha maana sana kwa uzao wako....sisi wengine hata matumaini ya kufyatua tofari hatuna.......pia mkuu usitake mbwembwe za finishing za gharama gonga mabati kwenye madirisha....weka hata mlango wa mabati hamia kwako...haraka sana...mkuu.....ukiwa kwako ni raha sana.....