Mitume hawakuvaa kanzu au kufuga ndevu kwa sababu ya Uislamu

Haha..
Ongezea kovu kwa paji la uso.
Mwarabu swala 5 ni mweupe lakini hana alama yoyote usoni, ila Mmatumbi mweusi tiii ana bonge la kovu kwenye paji la uso anaita Sigida !!
Kuna Waislamu wa Buza wakiswali wanaogongesha vichwa chini,wengine wanaongeza mchanga(wanatoa kwenye kanzu kisha wanaweka sehemu anayosujudu),wengine akisujudu anasugua paji la uso chini. Haya yote ili mradi tu aonekane anaswali.

Haya mambo ya Hila ya kutafuta sijda kwa sifa hayafanywi na waislamu wote lakini.

Wengine huenda mbali zaidi na kusema ile sigda ni taa pindi mtu anapokuwa kaburini(akifa).
 
Ogopa mtu kuongeza kwa dhana ,Ogopa mjinga kujifanya mjuaji ,Ogopa mtu kufanya ku Kugeneralize mambo kutokana na uono wake binafsi na sio uhalisia wa Jambo .

Waislamu sio Wagalatia mtu kujiamulia kila kitu chakipo kwenye kitabu ..

1. Hiyo ya kukata masofa umeitoa wapi mbona ngeni katika Uislamu una dalili ? haipo kwa waislamuwala katika kitabu

2.Kaburi kumwagia maji umetoka wapi ?

3.Kuvaa kiremba kosa mbona Waislamu wengi Tu hawavai na sio lazima ? ni dalili mbaya mtu kuwa na husuda mpaka katika mavazi ya mwenzako .

4. Namba unaushahidi nalo wakati namna ya kuswali ipo kwenye kitabu ,kisujudu ,kurukuu nk ? na suala la kutokuwa na viti wala mikeka unaushidi nalo na vipi nikukupa ushahidi wa kuwepo kwake enzi hizo ?
Mkuu,

Sijakuelewa hata kimoja ulichoandika,punguza jazba andika kwa utulivu na uniquote Kila hoja yangu katika namba zake ili nikuelewe. Kisha naweza kukujibu.
 
Mkuu,

Sijakuelewa hata kimoja ulichoandika,punguza jazba andika kwa utulivu na uniquote Kila hoja yangu katika namba zake ili nikuelewe. Kisha naweza kukujibu.
Hakuna jazba hapo siwezi kuwa na jazba na vitu ambayo sina control navyo mfano ujinga wa mtu mwingine au ubishi wake ni kujipa Psychology torture bila sababu za msingi , kama umetafsiri ni jazba basi upo wrong maana dalili kubwa ya mtu aliyepatwa ana jazba ni matusi na hapo hakuna matusi.

Ukichoandika ni dhana kwa sababu hauna ushahidi wa hata kimoja mfano ni sababu ya kuswali
msikitini.

Pili umechukua baadhi ya tamaduni na kufanya ndio Uislamu wakati Uislamu ni kitabu na Sunnah tena hizo tamaduni hazijaenea kwa Waislamu hata ukizunguka katika Waislamu 10 huwezi kukuta hata mmoja ,tufanye umekuta lakini haiwi kilicho miongoni mwa Waislamu ni Uislamu isipokuwa uendane na kitabu na Sunnah. Mfano katika hilo ni suala ulilodai kumwagia maji kaburini pamoja na Masofa.

Tatu umeonekana una husda na vitu vidogo mfano mavazi ya watu kitu ambacho ni kibata mtu akiwa nacho rohoni...

HITIMISHO : Kazi yangu nimemaliza ya kuweka bayana sitojihusisha malumbano ya kijinga isipokuwa kukiwa na ulazima wa kuweka bayana kwenye upotoshaji au mtu kaweka hoja yenye ushahidi madhubuti .

Ungekuwa Maghayo ningekupuuza mapema sababu ningejua ni akili ya bange au uchizi wake binafsi , ila kwako nilitaka niConclude kwanza kama tayari au la sasa imeshanibainikia ....
 
Vipo vingi tu.

Mfano,

1.kwa sababu ya hali ya jangwa eneo la mashariki ya kati,ilipelekea ibada kufanyika pasi na kukaa kwenye viti maana miti hakuna,Leo muislamu wa Iringa kwenye mbao na miti ya kutosha nae anaiga desturi ya waarabu na Wayahudi ya kuswali na kukaa chini kwenye mkeka,wakati miti ya kutengeneza viti ipo kibao.

2. Muislamu wa tandahimba kujifanya anashinda ndani ya msikiti badala akafanye kazi,eti kukaa msikitini kutwa kucha ni thawabu. Wenzao Arabuni kwa sababu ya joto kuwa Kali(jangwa) wakajikuta wanapojenga misikiti na masinagogi wanashinda humo ndani kupoza joto. Huku kwetu utamaduni wa kiislamu na ni thawabu kulala kwenye nyumba ya ibada!!

3. Mtu akizikwa kaburi kumwagiwa maji.

Nchi za kiarabu na mashariki ya kati kwa ujumla,kwa sababu ya kuwa jangwa,mtu akizikwa ilikuwa lazima kaburi limwagiwe maji na kuweka jiwe (Shahid) ili tuta liendelee kuwepo maana usipofanya hivyo baada ya masaa kadhaa upepo unakuja na kufuta kabisa hilo eneo kiasi kwamba mtu usijue kama hapa palikuwa na kaburi. Sisi wamakonde wa kidongo chekundu kule Newala tumeiga eti mtu akizikwa tunamwagia maji kaburi,maji ya baraka sijui mnaita.

3. Tende zinaota na kumea kwenye hali ya jangwa na ni chakula Chao kikubwa sana( kama utamaduni) ila sisi waumini wa mwananyamala tunafanya kama chakula cha kutoka kwa Mungu( tunakipa thamani kuliko korosho na mabibo ya kule mtwara) . Subiri wiki ijayo mfungo uanze uone zinavyopanda thamani na kuenziwa.

4. Eti muislamu wa makete nae anavaa kiremba kikubwa kichwani kisa utamaduni wa kiislamu,wakati enzi hizo ilikuwa unavaa kiremba kwa ajili ya kujikinga na jua Kali la utosi na joto Kali na pia Leo kwa sababu Dunia imeendelea,vilemba na makanzu vimeboreshwa kiasi kwamba si TU swala la kujikinga na jua Kali,bali pia ni kuongeza mvuto kwa mvaaji(. Mfano tajiri wa Manchester city na PSG huvaa kanzu na kilemba kama utamaduni kuonyesha yeye ni mwarabu,ila Ulaya hakuna sababu ya kuvaa kilemba kwa ajili ya kujikinga na jua Kali la utosi.

5. Ukiingia kwa muislamu kindakindaki,ndani kwake hakuna masofa Wala viti. Kisa? Uislamu sijui bla bla..

Hoja ni kwamba uarabuni hakuna miti walishindwa kutengeneza viti na masofa ndiyo maana wanakaa chini kwenye mikeka. Wewe mbongo umebeba dini mpaka vitu visivyokuhusu.

Hapo hatujaongelea ishu ya kuvaa kanzu na makobazi.

Me naona waafrika ndiyo tumekuwa watu wa hovyo zaidi hapa Duniani kwa kuiga dini na utamaduni wa watu wa mashariki ya kati pasi na kujua vitu vingine sisi havituhusu. Yaani tumebeba Kila kitu.

Leo korosho ya mtwara tunaidharau Huku tunaithamini tende ya uarabuni,Nina uhakika uarabuni kungekuwa Njombe/Iringa,Leo parachichi tungeliona kama tunda takatifu!!

Africa.
Una hoja, usikilizwe
FB_IMG_1709174355560.jpg
 
Back in history, many years ago... Kulikuwa hakuna teknolojia, hivyo wengi walikuwa hawanyoi ndevu... Muislamu kusema kufuga ndevu ni culture ya uislamu, sio kweli... Maana nimekuta Sheikh anasema, watu wote kwenye biblia ni waislamu, mpaka yesu... Na ndio maana hata kwenye Movie za Yesu wanafuga ndevu na wanavaa kanzu kudhiriisha culture ya uislamu.

Mimi binafsi nakataa, kwa sababu miaka hile ndevu zilifugwa kwa sababu kulikuwa hakuna teknolojia za vifaa vya kunyoa kama sasa, yani umaridadi wa sasa wa kunyoa kwa mitindo mbalimbali ulikuwa haupo, watu walikuwa wananyoa kwa kukata tu hili ziwe fupi. Hivyo watu walifuga nywele na ndevu sana kwa sababu option zilikuwa kufuga au kunyoa, ndio maana uwezi kukuta hata kwenye movie au picha za yesu mtu kanyoa panki, wote wamefuga ndevu na nywele ndefu. Na kwa sababu za miaka hile kazi kuu zilikuwa za kuchafuka, kuwinda, kuvua, na kazi ngumu ngumu za porini, watu hawakuona haja ya kunyoa, kwa sababu hakukuwa na civilization kama ya sasa.

Ukija kwenye vazi, walikuwa wanavaa magauni kwa sababu zama za kale kulikuwa hakuna ubunifu wa mavazi, na asilimia kubwa walivaa magauni ya mtindo wa kanzu. Hizi design za suruali na kaptula zimekuja hivi karibuni. Ukitizama hata huko Roma na Ulaya walikuwa wanavaa magauni

Kwa maana hiyo hii karne ni ngumu kuendelea kufuga ndevu kama zamani au kuvaa magauni kwa sababu ni karne tofauti na karne hii mitindo ya mavazi ni mingi.

Kusema tu eti kwa nini mitume na manabii walivaa kanzu ni kwamba kulikuwa hakuna mtindo wa mavazi, na kwa sababu ya uislamu.

Na ndevu zilifugwa kwa sababu kulikuwa hakuna mtindo au saloon za kunyoa kama sasa na si kwa sababu ya Uislamu
Wabunifu walikuwepo tungu miaka hiyo ndio maana kuna maiti zilizili zikiwa zaidi ya miaka 2000 zinakutwa zimevishwa nguo na vidani vya fedhe na dhahabu huo ni ufahamu wako tu
 
Wagalatia wanajikuta wako smart na educated sana af kumbe hamna kitu, wanashindwa na vitu basic kabisa.

We mtu mzima anaamini kwenye ndevu za sheikh kuna majini 12, huo si ukichaa
Tatizo la wakirito wamekubali kushikwa na wachungaji wao kila wanalo ambiwa waliamini hata kama aliingi akilini mfano heti kila sheikh anayo majini hata kuhoji yakua wewe mchungaji ulijuaje kuwa sheikh au mfuga ndevu anayo majini je alioyaona yanafananaje
 
Hivi unajua Walawi ni kina nani? Au umekurupuka tu? Usikute unadhani ni Wamalawi🤣🤣
Hivi umeelewa mleta mada anazungumzia nini au wewe pia umekurupuka kujibu?
Zamani anadai kulikuwa hakuna teknolojia ya kunyoa.
Kwa akili yako, walawi wanaozungumziwa hapa wa karne hii?
Babu zako walikuwa weupe kichwani hadi kuweza namna ya kunyoa nywele?
 
Wagalatia wanajikuta wako smart na educated sana af kumbe hamna kitu, wanashindwa na vitu basic kabisa.

We mtu mzima anaamini kwenye ndevu za sheikh kuna majini 12, huo si ukichaa
hii haizidi uzito wa hoja aliyoleta jamaa.

yaani kuamini ndevu ni uislam hauko mbali kuamini punda ni usafiri wa waislam.
 
Back in history, many years ago... Kulikuwa hakuna teknolojia, hivyo wengi walikuwa hawanyoi ndevu... Muislamu kusema kufuga ndevu ni culture ya uislamu, sio kweli... Maana nimekuta Sheikh anasema, watu wote kwenye biblia ni waislamu, mpaka yesu... Na ndio maana hata kwenye Movie za Yesu wanafuga ndevu na wanavaa kanzu kudhiriisha culture ya uislamu.

Mimi binafsi nakataa, kwa sababu miaka hile ndevu zilifugwa kwa sababu kulikuwa hakuna teknolojia za vifaa vya kunyoa kama sasa, yani umaridadi wa sasa wa kunyoa kwa mitindo mbalimbali ulikuwa haupo, watu walikuwa wananyoa kwa kukata tu hili ziwe fupi. Hivyo watu walifuga nywele na ndevu sana kwa sababu option zilikuwa kufuga au kunyoa, ndio maana uwezi kukuta hata kwenye movie au picha za yesu mtu kanyoa panki, wote wamefuga ndevu na nywele ndefu. Na kwa sababu za miaka hile kazi kuu zilikuwa za kuchafuka, kuwinda, kuvua, na kazi ngumu ngumu za porini, watu hawakuona haja ya kunyoa, kwa sababu hakukuwa na civilization kama ya sasa.

Ukija kwenye vazi, walikuwa wanavaa magauni kwa sababu zama za kale kulikuwa hakuna ubunifu wa mavazi, na asilimia kubwa walivaa magauni ya mtindo wa kanzu. Hizi design za suruali na kaptula zimekuja hivi karibuni. Ukitizama hata huko Roma na Ulaya walikuwa wanavaa magauni

Kwa maana hiyo hii karne ni ngumu kuendelea kufuga ndevu kama zamani au kuvaa magauni kwa sababu ni karne tofauti na karne hii mitindo ya mavazi ni mingi.

Kusema tu eti kwa nini mitume na manabii walivaa kanzu ni kwamba kulikuwa hakuna mtindo wa mavazi, na kwa sababu ya uislamu.

Na ndevu zilifugwa kwa sababu kulikuwa hakuna mtindo au saloon za kunyoa kama sasa na si kwa sababu ya Uislamu
Wale monks china na wamisri, kunyoa vipara wameanza miaka ya karibuni baada ya kugundulika saluni?
 
Back in history, many years ago... Kulikuwa hakuna teknolojia, hivyo wengi walikuwa hawanyoi ndevu... Muislamu kusema kufuga ndevu ni culture ya uislamu, sio kweli... Maana nimekuta Sheikh anasema, watu wote kwenye biblia ni waislamu, mpaka yesu... Na ndio maana hata kwenye Movie za Yesu wanafuga ndevu na wanavaa kanzu kudhiriisha culture ya uislamu.

Mimi binafsi nakataa, kwa sababu miaka hile ndevu zilifugwa kwa sababu kulikuwa hakuna teknolojia za vifaa vya kunyoa kama sasa, yani umaridadi wa sasa wa kunyoa kwa mitindo mbalimbali ulikuwa haupo, watu walikuwa wananyoa kwa kukata tu hili ziwe fupi. Hivyo watu walifuga nywele na ndevu sana kwa sababu option zilikuwa kufuga au kunyoa, ndio maana uwezi kukuta hata kwenye movie au picha za yesu mtu kanyoa panki, wote wamefuga ndevu na nywele ndefu. Na kwa sababu za miaka hile kazi kuu zilikuwa za kuchafuka, kuwinda, kuvua, na kazi ngumu ngumu za porini, watu hawakuona haja ya kunyoa, kwa sababu hakukuwa na civilization kama ya sasa.

Ukija kwenye vazi, walikuwa wanavaa magauni kwa sababu zama za kale kulikuwa hakuna ubunifu wa mavazi, na asilimia kubwa walivaa magauni ya mtindo wa kanzu. Hizi design za suruali na kaptula zimekuja hivi karibuni. Ukitizama hata huko Roma na Ulaya walikuwa wanavaa magauni

Kwa maana hiyo hii karne ni ngumu kuendelea kufuga ndevu kama zamani au kuvaa magauni kwa sababu ni karne tofauti na karne hii mitindo ya mavazi ni mingi.

Kusema tu eti kwa nini mitume na manabii walivaa kanzu ni kwamba kulikuwa hakuna mtindo wa mavazi, na kwa sababu ya uislamu.

Na ndevu zilifugwa kwa sababu kulikuwa hakuna mtindo au saloon za kunyoa kama sasa na si kwa sababu ya Uislamu
Kuna ukweli mkubwa na mwingi sana katika andiko lako.
 
Kanzu ni vazi la maeneo ya joto jangwani ambako nchi nyingi za kiarabu zipo ni.vazi kinaruhusu upepo kuingia na joto kuwa dogs

Sasa mtu unakuta katinga kanzu eneo lina baridi ajabu mpaka unamhurumia kuwa huyu kweli kichwani hazimo
 
Kuna Waislamu wa Buza wakiswali wanaogongesha vichwa chini,wengine wanaongeza mchanga(wanatoa kwenye kanzu kisha wanaweka sehemu anayosujudu),wengine akisujudu anasugua paji la uso chini. Haya yote ili mradi tu aonekane anaswali.

Haya mambo ya Hila ya kutafuta sijda kwa sifa hayafanywi na waislamu wote lakini.

Wengine huenda mbali zaidi na kusema ile sigda ni taa pindi mtu anapokuwa kaburini(akifa).

,giza gizani.
 
Back in history, many years ago... Kulikuwa hakuna teknolojia, hivyo wengi walikuwa hawanyoi ndevu... Muislamu kusema kufuga ndevu ni culture ya uislamu, sio kweli... Maana nimekuta Sheikh anasema, watu wote kwenye biblia ni waislamu, mpaka yesu... Na ndio maana hata kwenye Movie za Yesu wanafuga ndevu na wanavaa kanzu kudhiriisha culture ya uislamu.

Mimi binafsi nakataa, kwa sababu miaka hile ndevu zilifugwa kwa sababu kulikuwa hakuna teknolojia za vifaa vya kunyoa kama sasa, yani umaridadi wa sasa wa kunyoa kwa mitindo mbalimbali ulikuwa haupo, watu walikuwa wananyoa kwa kukata tu hili ziwe fupi. Hivyo watu walifuga nywele na ndevu sana kwa sababu option zilikuwa kufuga au kunyoa, ndio maana uwezi kukuta hata kwenye movie au picha za yesu mtu kanyoa panki, wote wamefuga ndevu na nywele ndefu. Na kwa sababu za miaka hile kazi kuu zilikuwa za kuchafuka, kuwinda, kuvua, na kazi ngumu ngumu za porini, watu hawakuona haja ya kunyoa, kwa sababu hakukuwa na civilization kama ya sasa.

Ukija kwenye vazi, walikuwa wanavaa magauni kwa sababu zama za kale kulikuwa hakuna ubunifu wa mavazi, na asilimia kubwa walivaa magauni ya mtindo wa kanzu. Hizi design za suruali na kaptula zimekuja hivi karibuni. Ukitizama hata huko Roma na Ulaya walikuwa wanavaa magauni

Kwa maana hiyo hii karne ni ngumu kuendelea kufuga ndevu kama zamani au kuvaa magauni kwa sababu ni karne tofauti na karne hii mitindo ya mavazi ni mingi.

Kusema tu eti kwa nini mitume na manabii walivaa kanzu ni kwamba kulikuwa hakuna mtindo wa mavazi, na kwa sababu ya uislamu.

Na ndevu zilifugwa kwa sababu kulikuwa hakuna mtindo au saloon za kunyoa kama sasa na si kwa sababu ya Uislamu
Haya Sasa kamwambie papa Francis na maaskofu wa kikatoliki na kilutheri wavue magauni yao wavae modo na makapero na waanze kunya viduku kama diamond platinums .
 
Back in history, many years ago... Kulikuwa hakuna teknolojia, hivyo wengi walikuwa hawanyoi ndevu... Muislamu kusema kufuga ndevu ni culture ya uislamu, sio kweli... Maana nimekuta Sheikh anasema, watu wote kwenye biblia ni waislamu, mpaka yesu... Na ndio maana hata kwenye Movie za Yesu wanafuga ndevu na wanavaa kanzu kudhiriisha culture ya uislamu.

Mimi binafsi nakataa, kwa sababu miaka hile ndevu zilifugwa kwa sababu kulikuwa hakuna teknolojia za vifaa vya kunyoa kama sasa, yani umaridadi wa sasa wa kunyoa kwa mitindo mbalimbali ulikuwa haupo, watu walikuwa wananyoa kwa kukata tu hili ziwe fupi. Hivyo watu walifuga nywele na ndevu sana kwa sababu option zilikuwa kufuga au kunyoa, ndio maana uwezi kukuta hata kwenye movie au picha za yesu mtu kanyoa panki, wote wamefuga ndevu na nywele ndefu. Na kwa sababu za miaka hile kazi kuu zilikuwa za kuchafuka, kuwinda, kuvua, na kazi ngumu ngumu za porini, watu hawakuona haja ya kunyoa, kwa sababu hakukuwa na civilization kama ya sasa.

Ukija kwenye vazi, walikuwa wanavaa magauni kwa sababu zama za kale kulikuwa hakuna ubunifu wa mavazi, na asilimia kubwa walivaa magauni ya mtindo wa kanzu. Hizi design za suruali na kaptula zimekuja hivi karibuni. Ukitizama hata huko Roma na Ulaya walikuwa wanavaa magauni

Kwa maana hiyo hii karne ni ngumu kuendelea kufuga ndevu kama zamani au kuvaa magauni kwa sababu ni karne tofauti na karne hii mitindo ya mavazi ni mingi.

Kusema tu eti kwa nini mitume na manabii walivaa kanzu ni kwamba kulikuwa hakuna mtindo wa mavazi, na kwa sababu ya uislamu.

Na ndevu zilifugwa kwa sababu kulikuwa hakuna mtindo au saloon za kunyoa kama sasa na si kwa sababu ya Uislamu
Plato
1712508763785.png


Socrates
1712508815373.png


Jesus
1712508892937.png
 
Back
Top Bottom