Sarafina1
Senior Member
- Mar 28, 2011
- 153
- 85
Frola Wingia!1Sorry fwingia@yahoo.com aghh!!Kilimasera jina Halisi Nimesoma lakini nimekujakugundua wanawake wanaoachwa kwa njia hii niwale walioingiwa na kirusi beijing nakama mimi ninahitaji kuwa na heshima kama mume lakini wewe unaendekeza maneno ya majukwa ya wana Harakati kama Fwingia lazima Ndani ya nyumba pataonekana kero na mimi kwakuondokana na kadhia hizo nikuvutakitu kipya!!wewe endeleza harakati zako za ubeijingi huko!siyo kwangu!!Nafikiri ndiyo sababu kubwa japo yawezekana siyo sababu!!!
Lakini hata hivyo kwa nini usimrekebishe ulie nae na kwenda kuoa mwanamke mwingine? una uhakika gani kama huyo mwanamke atakua bora kuliko huyu. Mimi nina mifano kama mitatu ya wanaume waliowaacha wake zao na kwenda kuoa wanawake wengine na matokeo yake wanajuta kuliko maelezo wanatamani wawarudie wake zao waliowaacha.