pcman
JF-Expert Member
- Oct 9, 2008
- 742
- 186
Ndugu wana JF,
Jana nilipata bahati ya kuwahoji baadhi ya vijana wanaofanya mitihani ya kidato cha 4.Hawa vijana wakaniambia mitihani imevuja, paper kama ya histori na biology walizopata nje ndizo wlizozikuta ndani ya chumba cha mtihani. HIVI TUNATENGENEZA TAIFA LA NAMNA GANI?
Jana nilipata bahati ya kuwahoji baadhi ya vijana wanaofanya mitihani ya kidato cha 4.Hawa vijana wakaniambia mitihani imevuja, paper kama ya histori na biology walizopata nje ndizo wlizozikuta ndani ya chumba cha mtihani. HIVI TUNATENGENEZA TAIFA LA NAMNA GANI?