Mitihani ya darasa la saba na kidato cha pili ya national irudi

Ticha

Senior Member
Aug 26, 2007
135
8
mitihani ya mchujo kwa darasa la nne na kidato cha pili irudishwe
 
Mitihani ya darasa la saba na kidato cha pili ya national irudi

Tukitaka kupandisha kiwango cha kufauru kwa wantahiniwa wa form four na form six lazima mitihani ya darasa la nne na ya kidato cha pili uruhusu kuchuja wanachuo kama ilivyokuwa hapo zamani.
Kwa sasa tutahangaika kutafuta suruhisho na kushikana mashati kumtafuta mchawi,lakini hili ni moja wya mchawi wa kushusha kiwango cha kufauru.
yapo mengine lakini hili ni rahisi kulitekeleza.
Haiwezekani mtoto hajui hata jina lake kuliandika halafu anaambiwa razima akaufanye mtihani wa kumaliza kitato cha nne.Ni lazima mchujo urudi wa darasa la nne na form two

Kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe
 
Kwa mwendo huu watoto watafauluje kama
1. Vichwa vya habari haviendani na mada?
2. Wanatakiwa "kufauru" badala ya kufaulu na "suruhisho" linatakiwa?

Kuwa makini ndugu, uwe unasoma mada zako kabla ya kubonyeza kitufe!!
 
Back
Top Bottom