Sijui kwanini timu za mkoani zinapenda sana kutoka sare!
Yaani neno ushindi kwao ni msamiati ambao haujazoeleka
Hebu angalia mfano mechi ya jana ya yanga dhidi ya geita! Yanga form ilikuwa ipo chini mno yaani geita wangekuwa wana uchu wa ushindi wangeshinda mechi ya jana.
Angalia mfano wa pili wa mechi ya leo ya simba na mashujaa. Simba walikuwa wanaruka ruka uwanjani lakini mwisho wa siku wanapata matokeo kwa mazingira ambayo kama ingekuwa timu inayojua kutumia nafasi basi leo ingeibuka na ushindi
Timu za mkoani haziamini kama simba na yanga zinafungika wakicheza nazo utaona kabisa wanatafuta angalau droo au wafungwe goli chache spirit yao ya upambanaji inakuwa ipo chini mno.
Kwa kifupi wajitafakari kwa kuwa tunaongalia hizi mechi tumelipia ili tuone burudani ila mwisho wa siku tunakereka na mechi zinazochezwa upande mmoja.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Yaani neno ushindi kwao ni msamiati ambao haujazoeleka
Hebu angalia mfano mechi ya jana ya yanga dhidi ya geita! Yanga form ilikuwa ipo chini mno yaani geita wangekuwa wana uchu wa ushindi wangeshinda mechi ya jana.
Angalia mfano wa pili wa mechi ya leo ya simba na mashujaa. Simba walikuwa wanaruka ruka uwanjani lakini mwisho wa siku wanapata matokeo kwa mazingira ambayo kama ingekuwa timu inayojua kutumia nafasi basi leo ingeibuka na ushindi
Timu za mkoani haziamini kama simba na yanga zinafungika wakicheza nazo utaona kabisa wanatafuta angalau droo au wafungwe goli chache spirit yao ya upambanaji inakuwa ipo chini mno.
Kwa kifupi wajitafakari kwa kuwa tunaongalia hizi mechi tumelipia ili tuone burudani ila mwisho wa siku tunakereka na mechi zinazochezwa upande mmoja.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app