schulstrasse
Senior Member
- May 31, 2010
- 108
- 0
OOH Maskini Hellen,kwenye Picha yupo Bomba but live duuh?I still dont believe it....:becky:!I think hakujiandaa na pia alijiamini saaana
aaahhh....bobbyyyyyyyyyyyyyyyyy, kwenye ndege sio eh? halafu ukawa disappointed eh??
bbbboooobbbyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
Mkuu Acid ni kwenye ndege wala c vinginevyo. Nilikutana naye Nairobi then tukakwea naye pipa kuja Dar. Disappointment yangu ni kwa sababu ya tofauti kubwa sana iliyopo kati ya The real Hellen na pictures zake. I had seen her pictures before JF, of course ndio sababu ya kumtambua. Hata kama nilifanikiwa kumtambua lakini OMG photoshop ni noma wajameni tuacheni masihala. That should not mean kwamba si mzuri big NO, ila picha na hali halisi vimeachana mbali sana.
Huyu ndio Miss Universe wetu 2010 hivi Lundenga huwa hawaoni Ma-miss wa ukweli kama huyu nadhani sasa shindano lake limepoteza mwelekeo na mvuto kwa kutoa Ma-miss wasio katika kiwango!
Huyu pedi yake naila kavukavu washed down with her raw ushuzi
Dang Coach...it's really like that?
ndio manake!kwahiyo unatka wa PLUTO ..JUPITER ..MARS NAO WAJE KUSHIRIKI:confused2::confused2:
Naona kuna haja ya kuwa na mashindano ya Mrembo wa africa mana wathungu wanatuchanganya sna maumbile/rangi/uzuri/etc..wao na wetu ni tofauti..
Hawa ma-miss Universe kila mwaka huwa wanatokea duniani tu, mbona hatusikii sayari zingine kushiriki!?