Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,591
sasa ndo atoboe matairi ya usafir wa mwenzie bila haya.......
huo ndio usafiri alokuwa anatumia kwenda kwa yule demu wake mwingine. sasa ili kukomesha tabia hiyo aliamua kuyapiga msumari matairi ya swala yake. unazikumbuka baiskeli za swala shem?