tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,245
- 7,116
Ni ukweli usiopingika kuwa kila imani (kanisa/dhehebu) lina misingi ya kuanzishwa kwake ambayo ndiyo inaisimamia.
Misingi ya Imani ya Tanzania Assemblies of God inasimamia misingi kumi na sita (16) ambayo kila muumini anatakiwa kuiishi. Misingi hiyo ipo kwa mujibu wa Biblia Takatifu ambayo ni Neno la Mungu.
Kwa kifupi mingisi hiyo ya Imani ya TAG imejipambanua na ndiyo inayotofautisha Kanisa la TAG na makanisa mengine ya Kipentekoste na hivyo kulifanya Kanisa la TAG kuwa na utulivu wa hali ya juu huku tukishuhudia utendaji wa Mungu Roho Mtakatifu kila mahali.
Misingi hiyo ni kama ifuatavyo:
1. Biblia ni Neno la Mungu.
2. Mungu mmoja tu wa kweli.
3. Yesu ni Mwana wa Mungu.
4. Anguko la mwanadamu.
5. Wokovu wa mwanadamu.
6. Ubatizo wa maji mengi na ushirika.
7. Ujazo wa Roho Mtakatifu.
8. Kunena kwa lugha mpya.
9. Utakaso.
10. Kanisa ni mwili wa Kristo.
11. Makusudi matano ya kanisa.
12. Mungu ndiye mponyaji.
13. Kufufuka na kunyakuliwa.
14. Utawala wa Yesu Kristo kwa miaka elfu.
15. Hukumu kuu ya mwisho.
16. Mbingu mpya na nchi mpya.
Nawatakia baraka za Bwana!
Misingi ya Imani ya Tanzania Assemblies of God inasimamia misingi kumi na sita (16) ambayo kila muumini anatakiwa kuiishi. Misingi hiyo ipo kwa mujibu wa Biblia Takatifu ambayo ni Neno la Mungu.
Kwa kifupi mingisi hiyo ya Imani ya TAG imejipambanua na ndiyo inayotofautisha Kanisa la TAG na makanisa mengine ya Kipentekoste na hivyo kulifanya Kanisa la TAG kuwa na utulivu wa hali ya juu huku tukishuhudia utendaji wa Mungu Roho Mtakatifu kila mahali.
Misingi hiyo ni kama ifuatavyo:
1. Biblia ni Neno la Mungu.
2. Mungu mmoja tu wa kweli.
3. Yesu ni Mwana wa Mungu.
4. Anguko la mwanadamu.
5. Wokovu wa mwanadamu.
6. Ubatizo wa maji mengi na ushirika.
7. Ujazo wa Roho Mtakatifu.
8. Kunena kwa lugha mpya.
9. Utakaso.
10. Kanisa ni mwili wa Kristo.
11. Makusudi matano ya kanisa.
12. Mungu ndiye mponyaji.
13. Kufufuka na kunyakuliwa.
14. Utawala wa Yesu Kristo kwa miaka elfu.
15. Hukumu kuu ya mwisho.
16. Mbingu mpya na nchi mpya.
Nawatakia baraka za Bwana!