pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,594
- 2,981
Wewew acha kumtisha mwenzio bwana, acha uoga huo wewe
Mkuu, huwa kuna lugha ya kinyume au wenzetu huita irony.
Wewew acha kumtisha mwenzio bwana, acha uoga huo wewe
Mimi niliposikia kwenye hotuba kwamba watazingatia vigezo kama kupanda gharama za maisha na mfumuko wa bei nilijua tu kwenye hizo asilimia maana ukiangalia data za uchumi mfumuko wa bei Tanzania kwa mwaka huu wanasema ni asilimia 7.2. Kwa hiyo nilijua tu watacheza maeneo hayo tu na si zaidi.
Kupandishwa kwa mishahara kuzingatie kupanda kwa gharama za maisha na hapo ndipo serikali itakuwa imemsaidia mwananchi mwajiriwa na aliyejiari, kwa sababu mshahara huo utanunua unga wa mahindi, maharage, sukari, mafiuta ya taa, nauli za daladala n.k. kwa sababu endapo bei za vitu hivi itaendelea kuwa juu basi ni wazi serikali itakuwa haijampunguzia mzigo wa gharama za maisha mwananchi huyu, pia mwajiriwa wa serikali na sekta binafsi anakatwa kodi ya 14% ya mshahara wake, kwahiyo serikali ipunguze kodi na pia iangalie namna ya kupunguza gharama za vitu vinavyotumiwa nyumbani kila siku na hapo ndipo mshahara huo utakapomnufaisha mwananchi.
Mkuu wala usijali, Southern Sudan wanahitaji wataalamu, HAMIA JUBA!kama hizi habari ni za kweli.....basi mipango yanguna ndoto zangu kwishney kabisa.
Ndio maana yenyewe hiyo mkuu then kuna kukata kodi 14% kama kawaida, so hapo anaweza chukua 4500 kama ongezeko!Inamaana anayepokea laki 1 kaongezwa elfu 10 tuu! haya ndoo maisha bora kwa mtanzania kwelikweli,, safiiiiiiiiiiiii!Wana Magamba mpoooooooo>????????????
Kweli kabisa, nakuunga mkono kwa 100%!kwa taarifa yako mshahara huwa hauongezeki ila kinachofanyika ni kuendana na inflation