Sio kweli kwamba kila mfanyakazi anatakiwa kuuona ukikutwa nao kama huhusiki itakula kwako. Ndio maana utakuta waraka husika ukeelekezwa kwa Wakuu wa Idara zinazojitegemea, Wakurugenzi wa Halmashauri, Majiji, Manispaa, Makatibu Wakuu wa Wizara na Wakuu wa wakala wa serikali. Narudia tena sio kila mtu ndio maana huyo Afisa Utumishi hajakuruhusu ukae nao muda mrefu otherwise ungekuja na full informationKila mfanyakazi sio hao tu.