Wana JF,
Nimeona waraka wa msajili wa hazina wa mishahara itakayolipwa mwezi huu mwishoni inaonekana mishahara imepanda kwa zaidi kidogo wa asilimia 10. Waraka wenyewe alikuwa nao Ofisa utumishi akanionesha kidogo na scale niliyoiona inaonesha asilimia hizo. Ndugu wakuu nawasilisha.
Nimeona waraka wa msajili wa hazina wa mishahara itakayolipwa mwezi huu mwishoni inaonekana mishahara imepanda kwa zaidi kidogo wa asilimia 10. Waraka wenyewe alikuwa nao Ofisa utumishi akanionesha kidogo na scale niliyoiona inaonesha asilimia hizo. Ndugu wakuu nawasilisha.