Mishahara ya walimu....!

Richbest

Senior Member
May 23, 2011
101
24
Habar za jion wakuu?eti jamani mshahara wa mwez uliopita nilikatwa 65000 nikafuatilia walimu wenzangu wachache nao wakadai wamekatwa kama mimi! Tulivyofuatilia tukaambiwa ni toka hazina je nani anataarifa ya hii kitu atujuze?
 
Habar za jion wakuu?eti jamani mshahara wa mwez uliopita nilikatwa 65000 nikafuatilia walimu wenzangu wachache nao wakadai wamekatwa kama mimi! Tulivyofuatilia tukaambiwa ni toka hazina je nani anataarifa ya hii kitu atujuze?

labda mlichangi miaka 50 ya Tanganyika
 
Si walimu tu. Mwezi Novemba wamelamba kama 50,000/- yangu! Salary slip nayo hawajanipa
 
Back
Top Bottom