Mishahara mipya ya walimu 2015/2016

Jf watu wanabishana na mwisho wanatulia.
Mwaka jana walibishana mishahara ikaingia kama alivyoweka mtoa post.
Kuna waliopost kuhusu kuhusu kusitisha ajira watu walibisha sana mwisho wametulia.
 
Kupanda daraja ni Miaka Minne....Mmoja wa kwanza unachukuliwa kama upo kwenye uangaliizi.
kama mtu unapanda daraja kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu(ule mmoja wa uangalizi umewekwa pembeni), vipi kuhusu madaraja yanayofuata, nayo yanahitaji miaka mitatu ili mtu apande kutoka daraja moja kwenda lingine?
 
B1=Basic 419000
Cwt=8390.Pension=20950.Income=46090.Insur 12570
Take home 331000

C1=530000
Cwt 10600.Pension 26500.Income 58300.Insurance 15900
Take home=418700

D1=716000
Cwt 14320.Pension 35800.Income 78760.Insurance 21400
Take home= 565640

E1=940000
Cwt 18800.Pension 47000.Income 103400.Insurance 28200
Take home 742600

F1=1235000
Cwt 24700.Pension 61750.Income 135850.Insurance 37050
Take home 975650

Approved
mbona huuu ndo ulikuwa unalipwa 2015/2016
 
Naomba kujua wadau Walimu wa Arts hawataajiriwa mwaka huu maana sisi wa vijijini tunapata habari mbaya tu na je kuna ukweli wowote
 
Naomba kujua wadau Walimu wa Arts hawataajiriwa mwaka huu maana sisi wa vijijini tunapata habari mbaya tu na je kuna ukweli wowote
bado hakuna uhakika juu ya watu gani coz kila kiongoz anakuja nayake ila juz wamesema wanaajir watumish zaid ya elfu 70 ukiangalia idadi hii inachukua walimu wote wa arts na science pamoja na watumish wengine wa serikal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom