hapo naongela shule kama Kibaha boys,Kibaha girls,Tumbi sekondari,Chang'ombe sekondari,n.kNi shule gani hizo mkuu
kweri =kweliHivi mtaongezwa
Mishahara mwezi july kweri?
kama mtu unapanda daraja kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu(ule mmoja wa uangalizi umewekwa pembeni), vipi kuhusu madaraja yanayofuata, nayo yanahitaji miaka mitatu ili mtu apande kutoka daraja moja kwenda lingine?Kupanda daraja ni Miaka Minne....Mmoja wa kwanza unachukuliwa kama upo kwenye uangaliizi.
Naomben anaejua takwimu ya walimu wanao ajiriwa mwaka huu 2016 wadau
mbona huuu ndo ulikuwa unalipwa 2015/2016B1=Basic 419000
Cwt=8390.Pension=20950.Income=46090.Insur 12570
Take home 331000
C1=530000
Cwt 10600.Pension 26500.Income 58300.Insurance 15900
Take home=418700
D1=716000
Cwt 14320.Pension 35800.Income 78760.Insurance 21400
Take home= 565640
E1=940000
Cwt 18800.Pension 47000.Income 103400.Insurance 28200
Take home 742600
F1=1235000
Cwt 24700.Pension 61750.Income 135850.Insurance 37050
Take home 975650
Approved
Na 2016/2017 ????mbona huuu ndo ulikuwa unalipwa 2015/2016
Ndo vizur hivyoKumbe walim wanalipwa vizuri hivi
bado hakuna uhakika juu ya watu gani coz kila kiongoz anakuja nayake ila juz wamesema wanaajir watumish zaid ya elfu 70 ukiangalia idadi hii inachukua walimu wote wa arts na science pamoja na watumish wengine wa serikalNaomba kujua wadau Walimu wa Arts hawataajiriwa mwaka huu maana sisi wa vijijini tunapata habari mbaya tu na je kuna ukweli wowote