Mishahara mipya ya walimu 2015/2016

Viwango hivyo vipo sahihi ila sina uhakika na Makato yake hilo ni ongezeko la Mwaka 2015/2016
 
B1=Basic 419000
Cwt=8390.Pension=20950.Income=46090.Insur 12570
Take home 331000

C1=530000
Cwt 10600.Pension 26500.Income 58300.Insurance 15900
Take home=418700

D1=716000
Cwt 14320.Pension 35800.Income 78760.Insurance 21400
Take home= 565640

E1=940000
Cwt 18800.Pension 47000.Income 103400.Insurance 28200
Take home 742600

F1=1235000
Cwt 24700.Pension 61750.Income 135850.Insurance 37050
Take home 975650

Approved
Hapo kwenye cwt hadi uwe member
 
B1=Basic 419000
Cwt=8390.Pension=20950.Income=46090.Insur 12570
Take home 331000

C1=530000
Cwt 10600.Pension 26500.Income 58300.Insurance 15900
Take home=418700

D1=716000
Cwt 14320.Pension 35800.Income 78760.Insurance 21400
Take home= 565640

E1=940000
Cwt 18800.Pension 47000.Income 103400.Insurance 28200
Take home 742600

F1=1235000
Cwt 24700.Pension 61750.Income 135850.Insurance 37050
Take home 975650

Approved
Hiyo mishahara ni kwa walimu wa halmashauri lakini kuna pia walimu wa shule za mashirika ya umma,hawa wapo vizuri zaidi.
 
Kwa vyovyote vile mishahara hii ni midogo sana.
Sipati picha mtu una take hme sh. Laki saba kwa mwezi,sawa na sh. Elfu ishirini na tatu kwa siku utamudu vipi kuish maisha ya kuridhisha.
Tujifunze kuwekeza katika vitega uchumi mishahara yetu,ili kuweza kuishi bila ukame wa kifedha.
Bila hivyo,maisha yatakuwa ya kubangaiza.
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom