BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 2,687
- 4,634
Vipi huko kwako ushaingia?Ndio muda wake
Vipi huko kwako ushaingia?Ndio muda wake
Mimi nasubiria wadeni wangu watumishi wa umma wanilipeUmemaliza PEPMIS?
😉😉😉
#YNWA
Ndio kinini ??Umemaliza PEPMIS?
#YNWA
TayariNdio kinini ??
Huyo sio mtumishiTayari
Mangi ameanza kuulizia huku, atanyima watu ungaMmeanza
Kumbe mpoMmeanza
Nadhani leo bull bullMshapokea?
Mangi anasumbua kuhusu deniWatumish mpoje kwani?
Aya nenden naskia mmeshaekewa watumishMangi anasumbua kuhusu deni
Nimepita bank moja ya nmb kwenye ATM kumejaa watu wamepauka nikajua watakuq walimu tu hao