Mbn kimya kimyaMjomba Salary imetoka tangu jana mimi ndo nakwambia Wwe na naelekea kumaliza Hela kabisa maana jana nilitandika bia za kutosha
HahahaMaticha wengine huwa wanaingia na hivyo vishkwambi kwenye mabanda ya bia wanatamba navyo kwamba eti ni laki 8.
Hahaha we jamaaaNdio maana nimepita hapa las carinyo nimeona watu wanafurahi na vishikwambi vyao.
acha uongo wewe walimu waliishapata zamaniNdio maana nimepita hapa las carinyo nimeona watu wanafurahi na vishikwambi vyao.
hela imeishaaa tatizoooNaona wote mmelipwa, malalamiko hamna tena.
wamelipa madeni kwa Mangihela imeishaaa tatizooo
Hahaha Kwa nnPesa hata ikitoka Haioni giza mbiliii
shidas kila konaa aisee...michangto plus madeniiHahaha Kwa nn
Unakuta moderator ndo aliyeandika Kichwa hicho cha Habari labda jamaa aliandika tofauti 🤣🤣Laana za kujitakia, moderators mko wapi? Hii siyo mara ya kwanza nyuzi za kudhalilisha walimu, shame on you
Karibu uzi utafufuka
ikipita J5 bilabila Tunaweka kambi hapaKaribu uzi utafufuka