Sooth
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 3,928
- 5,616
Hiyo Siri haina mipaka? Kuna mtu kaweka nyaraka za serikali hapa? Mbona hiyo siri haikusemwa wakat halmashauri ilipotoa press release ya kumtaka kiongozi wa CWT arudi kituo chake cha kazi?Ni masikitiko.masuala yote ya kiutumish ethically mtumish hupaswi kuja huku .lazima uwe na siri.
Hakuna Siri kwenye kushindwa kulipa mishahara.