Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

Waalimu lazima walalmike jamani.. Kazi haina poshoo haina rushwaa...haina Overtime haina chochote nje ya mshaharaaa Aisee hii nchi waalimu wanateseka mnoo..!
Ndio watu wajifunze joto la kitaa , na dharau waache , ule ujinga wao wa kudharau vijana hustler kitaa na kuwaambia " mjiajiri "
Ninyi mmetumikia miaka yote hiyo na hamna hata savings kidogo za kusustain maisha siku chache tu .
Watumishi Mminyo kidogo tu kilio kama ngiri pori.
Imagine ugumu wanaokutana nao watu wanaoungaunga kitaa bila sustainable job au biashara wanaishije .
Halafu kijana asiye na ajira kitaa anaambiwa " Jiajiri wewe mpumbavu " mara " vijana wavivu " ,mara "Maisha sio magumu ,muache uvivu "
Kumbe watumishi wakitupwa huku kitaa wanakuwa worse off than jobless youths wa hili taifa ambao wanapigiwa kelele kila siku
 
Nafurahi kuitwa hivyo maana ni Muda sana sijaitwa kijana! 😅😅
Shukrani sana imenifanya nijisikie vizuri 😅😅

Ila Huwezi kulia kila sehemu huku unavunja sheria na kanunia hio haikubaliki!
watu walipwe hela zao ndo uongelee kuheshimu sheria
 
Ndio muonje kitu ambacho sekta binafsi huwa wanatia. Kule kuna muda hadi mwezi unavuka tena na siku 10 mbele.
Hahaaaaa ! Kwa kanjibai mshahara ni tarehe 40 ,na hapo una bahati hujakatwa makato kwa kusingiziwa makosa au utoro
Ila wala hatulii
Watumishi wa umma waache kudeka
 
Kulikuwa na shida kwenye mfumo wa ulipaji serikalini (MUSE) tangu mwishoni mwa wiki iliyopita nahisi mpaka sasa haujakaa sawa labda ndo sababu. Maana hata malipo ya ndani kwenye mashirika nayo yamekwama kwa sababu ya mfumo. Sidhani kama ni kwa sababu ya serikali kukosa fedha ya kulipa
Hiki ni kisingizio tu. Mfumo ungekuwa na shida, wafanyakaz wote wasingelipwa. Kwann kalipa wanajeshi kama shida ni mfumo? Wanajeshi wanapokelea dirishan mishahara?
 
Sema watumishi tutafute vyanzo vya mapato aisee tutakuja kudhalilika.
Sasa mkuu huo muda wa kuhudumia vyanzo vingine vya mapato utapata wapi kama siyo kumwibia mwajiri? halafu wafanyakazi mkikamata fursa zote hawa ambao hawana ajira wafanye nini? ni muhimu kugawana majukumu na riziki pia.......mfanyakazi afanye kazi, mfanya biashara afanye biashara, mkulima afanye kilimo nk.​
 
Wewe kama ni teacher na ungependa kuingiza extra income, njoo pm nikupe mchongo, Kwa siku unauwezo wa kuingiza 10000/= na kuendelea. Furusa zipo tatizo mmepewa vishikwambi Kila wakati mpo Facebook.
 
Wewe kama ni teacher na ungependa kuingiza extra income, njoo pm nikupe mchongo, Kwa siku unauwezo wa kuingiza 10000/= na kuendelea. Furusa zipo tatizo mmepewa vishikwambi Kila wakati mpo Facebook.
Maticha wengine huwa wanaingia na hivyo vishkwambi kwenye mabanda ya bia wanatamba navyo kwamba eti ni laki 8.
 
Basi utakuwa vema muwe munalipa mishahara tarehe 30 na 31. Kitendo cha kulipa mishahala tarehe chini ya hapo ni kosa.
Ukilipa tarehe 21 mwezi ujao unalipa tarehe 31 inamaanisha unafanya makosa kimalipo. Unamuweka mtumishi siku zaidi ya 30 bila kumlipa ni kosa.

Wekeni tarehe maalum ya mshahala na iwe tarehe 30 au 31.
Msicheze na maisha ya watu, Kuna watu washafukuzwa kwenye nyumba za kupanga kwa kuongeza siku moja tu bila kulipa kodi ya pango, au hamjawahi kupanga mlikulia kwenye nyumba za urithi ?

Acheni kuwaona watumishi kama vikatuni.
Lipeni mishahala watu wanaumia sana.
Upo sahihi, Customer Care ni pande zote mbili, mtumishi ana haki ya kupewa customer care nzuri na muajiri wake, mfano alipwe stahiki zake kama mshahara, malipo ya likizo, etc kwa wakati, na kama ikitokea tatizo apewe taarifa mapema. Lakini utakuwa Mtumishi wa umma Kuna baadhi Yao Toka aajiriwe hajawi kulipa pesa ya likizo, na hata waliposema mwezi JULAI mshahara mpya, hawakuongeza bado hawakutoa taarifa mpaka zilipopigwa kelele mitandaoni ndio taarifa ikatoka, ila mtumishi huyo huyo asipotoa HUDUMA nzuri kwa raia kelele zitapigwa nchi nzima, Why double standard??
 
Kupitia kwenye hili sakata la kuchelewa kwa mishahara nimegundua kuwa watumishi wengi siku hizi wakiajiriwa hawapati mafunzo ya kiutumishi kitu kidogo mtu ameshapost yaani mpaka boda wanajua mshahara haujatoka nimeshangaa zaidi kusikia mtangazaji anaongelea hii issue kwenye redio hawa ajira mpya na watumishi wengine wa umma wanatakiwa waenda training hawana siri waliropoka mpaka kiasi cha hela walichoongezewa kwenye mishahara yao mamlaka hamlioni hili ndio maana mambo mengi yanavuja kabla ya mda.
Ni masikitiko.masuala yote ya kiutumish ethically mtumish hupaswi kuja huku .lazima uwe na siri.
 
Sasa mkuu huo muda wa kuhudumia vyanzo vingine vya mapato utapata wapi kama siyo kumwibia mwajiri? halafu wafanyakazi mkikamata fursa zote hawa ambao hawana ajira wafanye nini? ni muhimu kugawana majukumu na riziki pia.......mfanyakazi afanye kazi, mfanya biashara afanye biashara, mkulima afanye kilimo nk.​
This post should be in laminated room
 
Back
Top Bottom