Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

Kupitia kwenye hili sakata la kuchelewa kwa mishahara nimegundua kuwa watumishi wengi siku hizi wakiajiriwa hawapati mafunzo ya kiutumishi kitu kidogo mtu ameshapost yaani mpaka boda wanajua mshahara haujatoka nimeshangaa zaidi kusikia mtangazaji anaongelea hii issue kwenye redio hawa ajira mpya na watumishi wengine wa umma wanatakiwa waenda training hawana siri waliropoka mpaka kiasi cha hela walichoongezewa kwenye mishahara yao mamlaka hamlioni hili ndio maana mambo mengi yanavuja kabla ya mda.
Sina cha kukwambia ila tu Acha utani na maisha ya watu.kuwa serious na maisha ya watu mkuu
 
Hata kama ukitoka tarehe 20 sio sheria ulipwe tarehe 20 maana mshahara unatakiwa kutoka mwisho wa mwezi.mwisho wa mwezi ni lini?

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Hebu twambie ni sheria gani na kufungu gani cha sheria hiyo kinasema mshahara unatakiwa kutoka mwisho wa mwezi? Na je kama uliopita ulitoka tarehe 22 Septemba, mwisho wa mwezi kwako ni tarehe ngapi? Tatizo wengine humu mnajifanya wajuaji kumbe zero kabisa
 
ni kweli wajeda tayari sijui sisi hatima yetu ikoje
Lazima wajeda awawahishie maana Yuko nje ya nchi, wanaweza kumuwahi kabla hajarudi.

Ila kulipa mishahara ni kitu basic sana ambacho kila serikali inapaswa kufanya, la sivyo hakuna sababu ya kuwa na serikali hiyo madarakani. Watawala wanalijua hili, ndo maana hawathubutu kuwacheleweshea wanajeshi.
 
Hebu twambie ni sheria gani na kufungu gani cha sheria hiyo kinasema mshahara unatakiwa kutoka mwisho wa mwezi? Na je kama uliopita ulitoka tarehe 22 Septemba, mwisho wa mwezi kwako ni tarehe ngapi? Tatizo wengine humu mnajifanya wajuaji kumbe zero kabisa
Kwani hujui kila mwezi unaisha lini? Huo ndio mwisho wa mwezi kama ukiingiziwa mapema ni favour tu kama vp unaweza kuziacha hadi siku mwezi unapoisha.huwdzi kuipeleka serikali mahakamani kisa mshahara umeingia tarehe 26 utaulizwa kwani ulitakiwa uingie lini?

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Kwani hujui kila mwezi unaisha lini? Huo ndio mwisho wa mwezi kama ukiingiziwa mapema ni favour tu kama vp unaweza kuziacha hadi siku mwezi unapoisha.huwdzi kuipeleka serikali mahakamani kisa mshahara umeingia tarehe 26 utaulizwa kwani ulitakiwa uingie lini?

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Hujui lolote ni wa kuhurumiwa tu
 
Sina cha kukwambia ila tu Acha utani na maisha ya watu.kuwa serious na maisha ya watu mkuu
Maisha gani sasa mshahara kuchelewa siku mbili tu mnapiga kelele humu ndani ili iweje nendeni hazina dodoma mkaandamane ikifika week si mtatembea mnaongea wenyewe.
 
Kwani hujui kila mwezi unaisha lini? Huo ndio mwisho wa mwezi kama ukiingiziwa mapema ni favour tu kama vp unaweza kuziacha hadi siku mwezi unapoisha.huwdzi kuipeleka serikali mahakamani kisa mshahara umeingia tarehe 26 utaulizwa kwani ulitakiwa uingie lini?

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
How is it a favor. Mwezi una siku 30. Ukinilipa tarehe 22 it means tarehe 22 ni mwezi (yaani 30 days).
Kuna hii concept eti mishahara inawahi hakuna kinachowahi ukilipwa Kila tarehe 22 ni kwamba umelipwa after 30 days which means mwezi.

Wakilipa Kwa mfano Kila tarehe 30 it means mwezi. Hakuna favor wala hakuna kinachowahi
 
How is it a favor. Mwezi una siku 30. Ukinilipa tarehe 22 it means tarehe 22 ni mwezi (yaani 30 days).
Kuna hii concept eti mishahara inawahi hakuna kinachowahi ukilipwa Kila tarehe 22 ni kwamba umelipwa after 30 days which means mwezi.

Wakilipa Kwa mfano Kila tarehe 30 it means mwezi. Hakuna favor wala hakuna kinachowahi
Hutakiwi kulipwa tar 22 unatakiwa kulipwa mwisho wa mwezi kwahiyo ikitikea umelipwa tarehe 10 au 15 au 22 ujue hiyo ni pesa ambayo ulipaswa ulipwe mwishoni mwa mwezi ila imeingia tarehe hizo so inapotokea haijaingia hizo tarehe basi ni haki yako kusubiri tarehe husika na sio kulaumu kwanini waliwahishiwa
 
Mwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani. Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.

Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.

Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka Jumamosi tar 21 lakini haijatoka.

Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza.
Acha kutusemea...usitugombanishe na serikali yetu.
 
Kama wewe si mwajiriwa serikalini imekuja kuvamia huu uzi wewe ni mchawi.
Mshahara ni haki ya mtumishi bila kujali ana miradi mingapi nje ya mshahara.
Ni kawaida kulipwa tarehe 21-23 tangu 2016. Sasa nyie mnaokuja kusuta watumishi kwa kuulizia haki zao nyie ni wachawi, jobless na mafukara
 
Maisha gani sasa mshahara kuchelewa siku mbili tu mnapiga kelele humu ndani ili iweje nendeni hazina dodoma mkaandamane ikifika week si mtatembea mnaongea wenyewe.
Maisha yetu yameungana, hauko salama kwa sababu tu sio mtumishi wa umma. Kama uko private sector au unafanya biashara, suala hili linakugusa.

Haya mambo hutokea pale ambapo serikali imeelemewa na madeni ya nje. Hii ni kwamba hata uwezo wa ku-import wa nchi utashuka. Utamuuzia nan?
 
Kwann unapenda mateso unayopitia wewe kila mtu apitie? Mtaan tunaishi pamoja, akikwama mlinzi wa sekta binafsi, mwalimu anamuinua. Akikwama mwalimu, mlinzi anamuinua. Sasa kwanini watu weusi hatupendani?
 
Maisha yetu yameungana, hauko salama kwa sababu tu sio mtumishi wa umma. Kama uko private sector au unafanya biashara, suala hili linakugusa.

Haya mambo hutokea pale ambapo serikali imeelemewa na madeni ya nje. Hii ni kwamba hata uwezo wa ku-import wa nchi utashuka. Utamuuzia nan?
Kwani kila mtu lazima ajue kuwa ni mtumishi pambaneni na hali zenu kama ukiwa mtumishi ni lazima ujitangaze basi ww sheria za utumishi wa umma huzijui vizuri kapitie tena upya.
 
Back
Top Bottom