simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Kufikiria kwa makalio = kufikria ovyo ovyo bila umakini.
Mbona yapo tangu 1988
Mbona yapo tangu 1988
Kinakilishi- Photocopier
Nukushi- Fax
Mkuu kuna katofauti flani kati ya kudhamini na kuthamini!nawapenda sana wachina kila kitu hapa ni kichina hata ukienda uwanja wao wa ndege wa kimataifa ni kichina na nilifurahi sana baada ya kukutana na polisi wa kichina akiniongelesha kiswahili,wao wanadhamini lugha yao na hata uchumi wao unakuwa si kwa ajili ya lugha za kigeni,kwanini sisi tena lugha yetu ni ya kitofauti sana
Mkuu kuna katofauti flani kati ya kudhamini na kuthamini!
Nahisi mwenzetu ni mgeni hapa JF.
www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/143502-misamiati-mipya-ya-kiswahili-sanifu-4.html
Nahisi mwenzetu ni mgeni hapa JF.
www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/143502-misamiati-mipya-ya-kiswahili-sanifu-4.html
Duhu!!!feed back-mshindo nyuma
mfano: Juma nipatie mshindo nyuma huko uliko toka