Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
- Thread starter
- #41
nisikiavyo ni wasichana wanasomesha na mama salma kikwete ila ni waathirika(HIV+) na kwa mujubu wa taarifa zisizo rasmi wamesambazwa vyuo vingi nchi nadhani wadau wenye kufahamu vyema watakupa maujanja zaidi ..Wazee kontena la mama salma ndo inamanisha nin? Me ndo natak kuanza form1