Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
wanajamii habari zenu , natumaini ni wazima wa afya tele... pili napenda kuwapongeza wale wote waliochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu
kama kichwa cha habari hapo kinavyojieleza ningeomba wanajamii tujikumbushe misamiati na slang zinazotumika kwenye mavyuo hii itaoa msaada kwa wenzetu wanaojiunga sasa kuwa na awareness na hayo maneno au hiyo misamiati
binafsi nimepita pale MLIMANI aka The Hill aka Hekima ni uhuru... UDSM
baadhi ya maneno niliyokuwa nayasikia na mengine kuyatumia kipindi nasoma ni kama
MADESA/DESA-hili neno lina maananisha materials ya kujisomea, notices,tutorial,seminar paper ,handout, nk
KUNJI-hili neno maarufu sana kwa walewapigania haki wanalijua sana maana ake ni MGOMO
KIMEO/SAP- supplimentary (kurudia mitihani kwa kutovuka kiwango kilichowekwa)
DISCO-DISCONTINUE (kushindwa kuendelea na masomo kwa sababu za kitalumaa /kufeli)
CONFERENCE-kipindi cha supplementary examinations.
MDIGRII- eneo lenye miti mikubwa karibia na utawala mlimani sisi usajili tulifanyia pale..
REV SQUARE -revolution square eneo karibia na cafteria one na two mlimani (udsm) ambapo mikutano mingi kipindi cha kudai haki ufanyika
CHAPEL-kanisa litumikalo kuabudu na wakristo wa madhehebu mbalimbali liko njia ya kuelekea HALL SIX na SEVEN na changanyikeni
MSAUD-msikiti chuo kikuu mlimani/pia ni jumuiya ya waislamu mlimani..
RB-RICE and beans wali maharage..
BINARY/PASI NDEFU/LAMPARD/ONE ZERO ONE /-KULA MLO MMOJA AU MIWILI KUTOKANA NA UCHUMI
BOOM-pesa ya kujikimu kwa ajili ya chakula na malazi
VIMBWETA -madawati / ya zege ya kusomea COET wanaita SLAB
MNAWEZA KUONGEZA MENGINE KUTOKANA CHUO ULICHOPO NA KIPINDI ULICHOKUWA UNASOMA
NAWASILISHA
UPDATE ZA WADAU
kama kichwa cha habari hapo kinavyojieleza ningeomba wanajamii tujikumbushe misamiati na slang zinazotumika kwenye mavyuo hii itaoa msaada kwa wenzetu wanaojiunga sasa kuwa na awareness na hayo maneno au hiyo misamiati
binafsi nimepita pale MLIMANI aka The Hill aka Hekima ni uhuru... UDSM
baadhi ya maneno niliyokuwa nayasikia na mengine kuyatumia kipindi nasoma ni kama
MADESA/DESA-hili neno lina maananisha materials ya kujisomea, notices,tutorial,seminar paper ,handout, nk
KUNJI-hili neno maarufu sana kwa walewapigania haki wanalijua sana maana ake ni MGOMO
KIMEO/SAP- supplimentary (kurudia mitihani kwa kutovuka kiwango kilichowekwa)
DISCO-DISCONTINUE (kushindwa kuendelea na masomo kwa sababu za kitalumaa /kufeli)
CONFERENCE-kipindi cha supplementary examinations.
MDIGRII- eneo lenye miti mikubwa karibia na utawala mlimani sisi usajili tulifanyia pale..
REV SQUARE -revolution square eneo karibia na cafteria one na two mlimani (udsm) ambapo mikutano mingi kipindi cha kudai haki ufanyika
CHAPEL-kanisa litumikalo kuabudu na wakristo wa madhehebu mbalimbali liko njia ya kuelekea HALL SIX na SEVEN na changanyikeni
MSAUD-msikiti chuo kikuu mlimani/pia ni jumuiya ya waislamu mlimani..
RB-RICE and beans wali maharage..
BINARY/PASI NDEFU/LAMPARD/ONE ZERO ONE /-KULA MLO MMOJA AU MIWILI KUTOKANA NA UCHUMI
BOOM-pesa ya kujikimu kwa ajili ya chakula na malazi
VIMBWETA -madawati / ya zege ya kusomea COET wanaita SLAB
MNAWEZA KUONGEZA MENGINE KUTOKANA CHUO ULICHOPO NA KIPINDI ULICHOKUWA UNASOMA
NAWASILISHA
UPDATE ZA WADAU
KUINGIZWA CHAKA- Kupewa majibu ambayo siyo sahihi
Hiyo EXILE naifananisha na kitu moja pale BUCHS sasa CUHAS "KUADMIT" wakimaanisha kuvuta demu na kulala nae ucku kucha.
1.Kwenda Ubalozini..( kuzuru kwa ndugu na jamaa ili kubana matumizi au kuomba mshiko)
2. Kukomnika ( kushindia mkate na chai au maji wakati wa ukata..duh hii ilikuwa balaa)
teh teh teh!! Kutoka udom kuna hizi tena!!
MJAC/ MJASI- mama ntilie wanaouza chakula tofauti na cafteria
NYAVU - supplimentary
Mzigo- carry over
NG'OX- colleg ya education (ts kifup cha jina la kijj near colleg ya education- Ng'ong'ona)