Umesahau:
Maandamano
Kususa
Magwanda
Hatumtambui
Tunaonewa
Tumeibiwa kura
Tutakesha
Hapakaliki
Hapatoshi
Mpaka Kieleweke
Katiba
Dokta wa Kanoni
DJ
kwereeeeeeeUmesahau:
Maandamano
Kususa
Magwanda
Hatumtambui
Tunaonewa
Tumeibiwa kura
Tutakesha
Hapakaliki
Hapatoshi
Mpaka Kieleweke
Katiba
Dokta wa Kanoni
DJ
aise! wote mmesahau MKURABITA.
Kiduku1.mpango mkakati.
2.megawati.
3.wahisani.
4.wawekezaji.
5.mkopo wenye riba nafuu.
6.libeneke
7.mgao.
8.gamba/magamba.
9.demokrasia ya kweli.
10.tumethubutu,tumeweza na tunasonga mbele.
11.fitina
12.wanaharataki.
13.posho.
14.Nondozi
15.wadau.
16.uhujumu uchumi.
17.ufisadi.
18.muungano.
19.mchakato.
20.vyama vingi.
21.mabasi yaendayo kasi.
22.barabara za juu.
23.thamani ya shilingi.
24.fursa sawa kwa wote
25.ubinafsishaji.
26.utandawazi.
27.Migomo
28.maslahi binafsi.
29.vyama vingi.
30.kitchen patry.
31.kagha moja ndembendembe.
32.haki za binadamu.
33.hadidu za rejea.
34.Tume ya uchunguzi.
35.nguvu ya hoja.
36.mustakabali wa Taifa.
37.nguvu mpya,ari mpya na kasi mpya.
38.nguvu ya umma.
39.hati ya maridhiano ya makubaliano.
40.ugaidi.
41.ughaibuni.
42.muafaka
43.uchakachuaji
44.mpango ndelevu
45.kamati teule
46.rasimu
47.sharobaro
48.wapiganaji/wapambanaji
49.upembuzi yakinifu.
50.mfumuko wa bei.
Umesahau:
Maandamano
Kususa
Magwanda
Hatumtambui
Tunaonewa
Tumeibiwa kura
Tutakesha
Hapakaliki
Hapatoshi
Mpaka Kieleweke
Katiba
Dokta wa Kanoni
DJ
mwisho na si kwa umuhimu "ombwe"
malizia na Al Shabaab