kha jamani wanawake nao waangalie body zao kabla ya kuvaa nguo
Labda wewe ndio mlengwa kwa hiyo amelenga shabaha vizurinimeupenda huo mpasuo
kutokuvaa chupi sasa imekuwa fasheni
Utafiti nilio fanya ni kutokana na joto kali ndo maana hazivaliwi Mungu anawasaidia maungo yenu hayatuni kama wanaume pindi yapatapo msisimko