Naona Town wahindi wanarusha mafataki yao. Sijui wanasheherekea nini....Niko manzese nasikia milipuko mda mrefu mnaisikia au masikio yangu tu? mwanzo nilijua radi ila bado inaendelea kuna nini?
Wanasherekea michezo ya kubet kupigwa marufuku mkuu.Naona Town wahindi wanarusha mafataki yao. Sijui wanasheherekea nini....
Leo ni Diwali, sikukuu ya Wahindi, ndio wanapiga barutiNiko manzese nasikia milipuko mda mrefu mnaisikia au masikio yangu tu? mwanzo nilijua radi ila bado inaendelea kuna nini?
HahahahaaaSasa Hali ni salama na najisikia uhuru kulala. Nikajua Putin kakiwasha nuclear huko nikawaza sasa inakuwaje na sijachimba handaki. .