Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

Mkuu.
Mimi huwa nasom mijadala mingi humu JF hasa ya dini au imani, sayansi na maendeleo. Lakini nilichoona ni kwamba watu wengi hapa JF (asilimia 98) hawana uelewa wa mambo na elimu ya vitu.

Watu hawajui sayansi ni nini na inashughulika na nini; na hawajui maarifa ya sayansi yamefikia wapi kuhusu ulimwengu wa maumbile, na dini ni nini na inashughulika na nini.
Kiranga
 
Leo ukisimamishwa ili ujitambulishe kuwa wewe ni nani, kwa vyovyote vile utaanza kutaja majina yako, ukiendelea mbele zaidi unaweza kutambulisha anuani unayotoka ama nasaba yako. Majina uliyonayo ni ya kupewa na wazazi ama jamii yako lakini hayana uhusiano na wewe as mtu.

Lakini, unachokitaja hapo havina uhusiano na wewe kama mtu. Kwa mfano kwenye kutaja viungo vya mwilini utaweza kuorodhesha Mkono wangu, Mguu wangu, Kichwa changu, tumbo langu....... na kadhalika. Lakini ukiulizwa wewe ni nani utataja jina lako ama jinsia.

Je, wewe ni nani haswa? sahau kila kitu chako. Tujadiliane hapa kutafuta majibu. Wewe (mtu) ni nani haswa? Uwepo wako ni upi haswa. Unajitambua ama tufanyeje kujitambua?
Hizi research question zinalenga kujibu swali lipi la msingi?
1. Descriptive
2. Explorative
3. Inference
4. Predictive
Weka nuru zaidi kwenye hojaji, pengine itatuongoza kujadili
 
Kama hakipo kwanini una FORCE kipo?
Kwahiyo tuamini(tukubali tu) UPUMBAVU wowote ambao HAUPO na hauthibitiki kama upo kwa kigezo kwamba Sayansi bado haijagundua?

Ndio maana tunasema kwenye IMANI kuna UJINGA mwingi sana kwasababu KILA KITU KINAWEZEKANA kwenye IMANI
Hatakama jambo HALIPO na uwezekano wakuwepo haupo lakini kwenye IMANI “lipo”
Science doesn’t work that way

IMANI itabaki kuwa IMANI unless hujui maana ya IMANI
Mtume anaposema mfia dini anakwenda kupewa mabikira 72 au Yesu anaposema watakao muamini hadi kufa watakwenda kula naye bata milele, au Vikings wanaoamini ukifa vitani na shoka mkononi unakenda kula bata Valahala, na kuna mamilioni ya IMANI kama hizi........... science has nothing to do with this kind of stupidity

Sayansi ina deal na mambo yaliopo. sayansi haishughuliki na hekaya za kusadikika
Kuilaumu Imani, kuikashifu Imani, kuidhihaki Imani ni kukwepa msingi mmoja mkubwa wa hii phenomenon inaitwa mwanadamu. Imani ni sehemu muhimu mno ku-study mwanadamu. Vema kuitazama kwa umuhimu kabla ya kuhitimisha kwa kuidogodesha
 
Je katika UMiMi (wewe) wangu ni katika umoja au wingi?

Umetoa jibu pana mno ambapo linaibua hoja zaidi
Jibu lake limejitosheleza

Identity yako ni yale yanayopatina katika nafsi yako yale ambayo wengine hawayaoni lakini yapo ndani na wewe ndiyo unajua

Viungo vyako vinaonekana vya nje vinaonekana kuwa wewe ni mzuri wewe ni mweupe wewe ni mweusi wewe ni mrefu hiyo ni identity ya nje lakini jamiii ikikuuliza wewe ni nani ni swali la kiufahamu tu kuwa ni utambulisho wa nafsi na tukifa kinachoondoka ni nafsi mwili unaoza


Na ndiyo maana wachawi wanaweza kuichukua nafsi yako na wakaacha kiwiliwili tu chako, umeshasikia mtu anasema huyu banah kimebaki kiwiliwili chake tu walishamchukua siku nyingi ni hatari sana mchawi akikufanyia hivyo maana unakua huna ufahamu kamili
 
Kama hakipo kwanini una FORCE kipo?
Kwahiyo tuamini(tukubali tu) UPUMBAVU wowote ambao HAUPO na hauthibitiki kama upo kwa kigezo kwamba Sayansi bado haijagundua?

Ndio maana tunasema kwenye IMANI kuna UJINGA mwingi sana kwasababu KILA KITU KINAWEZEKANA kwenye IMANI
Hatakama jambo HALIPO na uwezekano wakuwepo haupo lakini kwenye IMANI “lipo”
Science doesn’t work that way

IMANI itabaki kuwa IMANI unless hujui maana ya IMANI
Mtume anaposema mfia dini anakwenda kupewa mabikira 72 au Yesu anaposema watakao muamini hadi kufa watakwenda kula naye bata milele, au Vikings wanaoamini ukifa vitani na shoka mkononi unakenda kula bata Valahala, na kuna mamilioni ya IMANI kama hizi........... science has nothing to do with this kind of stupidity

Sayansi ina deal na mambo yaliopo. sayansi haishughuliki na hekaya za kusadikika
Yani elimu yote niliyo kupa na logic ujaelewa kweli wewe ni zuzu ....sayansi inakuja kutokea chini hivyo uwezi kisayansi kusema hakuna kitu fulani kwa sababu sayansi bado aijakigundua ...kuna vitu vipo ila bado avijagunduliwa na sayansi...kimoja wapo ni mungu ila kwa sasa sayansi imeanza kugundua kuwa kuna dalili za mungu ...tatizo lako wewe upo katika akili mgando ujui sayansi imefikia wapi kwenye kutambua uwepo wa mungu
 
Kama hakipo kwanini una FORCE kipo?
Kwahiyo tuamini(tukubali tu) UPUMBAVU wowote ambao HAUPO na hauthibitiki kama upo kwa kigezo kwamba Sayansi bado haijagundua?

Ndio maana tunasema kwenye IMANI kuna UJINGA mwingi sana kwasababu KILA KITU KINAWEZEKANA kwenye IMANI
Hatakama jambo HALIPO na uwezekano wakuwepo haupo lakini kwenye IMANI “lipo”
Science doesn’t work that way

IMANI itabaki kuwa IMANI unless hujui maana ya IMANI
Mtume anaposema mfia dini anakwenda kupewa mabikira 72 au Yesu anaposema watakao muamini hadi kufa watakwenda kula naye bata milele, au Vikings wanaoamini ukifa vitani na shoka mkononi unakenda kula bata Valahala, na kuna mamilioni ya IMANI kama hizi........... science has nothing to do with this kind of stupidity

Sayansi ina deal na mambo yaliopo. sayansi haishughuliki na hekaya za kusadikika
Sayansi gani imethibitisha kuwa hakuna mungu nitajie ni sayansi gani ..pia nitsjie vipi vitu vimejiumba vyenyewe kwa akili kubwa ...je wanasayansi wako wakienda sayari za mbali wakagundua kuwa kuna simu ya mkononi kwenye hiyo sayari unadhani watasema ni nature imeumba simu ya mkononi kwa bahati tu
 
Kama hakipo kwanini una FORCE kipo?
Kwahiyo tuamini(tukubali tu) UPUMBAVU wowote ambao HAUPO na hauthibitiki kama upo kwa kigezo kwamba Sayansi bado haijagundua?

Ndio maana tunasema kwenye IMANI kuna UJINGA mwingi sana kwasababu KILA KITU KINAWEZEKANA kwenye IMANI
Hatakama jambo HALIPO na uwezekano wakuwepo haupo lakini kwenye IMANI “lipo”
Science doesn’t work that way

IMANI itabaki kuwa IMANI unless hujui maana ya IMANI
Mtume anaposema mfia dini anakwenda kupewa mabikira 72 au Yesu anaposema watakao muamini hadi kufa watakwenda kula naye bata milele, au Vikings wanaoamini ukifa vitani na shoka mkononi unakenda kula bata Valahala, na kuna mamilioni ya IMANI kama hizi........... science has nothing to do with this kind of stupidity

Sayansi ina deal na mambo yaliopo. sayansi haishughuliki na hekaya za kusadikika
Mbona wana sayansi wana sema kuna black hole na awajui ni kitu gani hicho ....wao wanaijua black hole kwa athari zake tu ila awajui ni nini ? Pia mungu tunaweza kumjua kwa athari zake mfano vitu vimeumbika kwa akili ya hali ya juu sana na mpangilio mkuu mno sasa kisayansi ni lazima kuna kitu chenye akili sana kilicho fanya huo uumbaji wa vitu na kitu hicho ndiyo mungu
 
Sayansi gani imethibitisha kuwa hakuna mungu nitajie ni sayansi gani ..pia nitsjie vipi vitu vimejiumba vyenyewe kwa akili kubwa ...je wanasayansi wako wakienda sayari za mbali wakagundua kuwa kuna simu ya mkononi kwenye hiyo sayari unadhani watasema ni nature imeumba simu ya mkononi kwa bahati tu
We kilaza sio kazi ya sayansi kusema kitu fulani hakipo ulimwengu au kipo
Kazi ya sayansi ni kushughulika na vitu vilivyopo..... sayansi ikibaini kitu ndio inakichakata

Ili sayansi ishughulike na huyo Mungu wako kwanza inatakiwa zipatikane data zake(awepo) kisha sayansi itachaka na kuja na matokeo
Data za Mungu kisayansi HAZIPO zaidi ya scriptures za imani tofauti

Sayansi haisemi kama Mungu yupo au hayupo kwasababu hayupo kwenye kanuni za kisayansi kuchakatwa

Hili lina ugumu kwako kuelewa mkuu?
 
We kilaza sio kazi ya sayansi kusema kitu fulani hakipo ulimwengu au kipo
Kazi ya sayansi ni kushughulika na vitu vilivyopo..... sayansi ikibaini kitu ndio inakichakata

Ili sayansi ishughulike na huyo Mungu wako kwanza inatakiwa zipatikane data zake(awepo) kisha sayansi itachaka na kuja na matokeo
Data za Mungu kisayansi HAZIPO zaidi ya scriptures za imani tofauti

Sayansi haisemi kama Mungu yupo au hayupo kwasababu hayupo kwenye kanuni za kisayansi kuchakatwa

Hili lina ugumu kwako kuelewa mkuu?
Kama ni hivyo ugunduzi mpya unapatikana vipi na mahabara za ugunduzi mbalimbali zipo kwa kazi gani
 
Kisayansi bao moja lina jumla ya mamilioni kama sio bilions sperms
Na kila sperm ikikutana na yai lililo iva la mwanamke inatunga mimba....... hivi ndio tunavyojua binadamu anavyotengenezeka.

Kwa muktadha wa sperms na yai la mama, nipe darasa hapo mkuu jinsi mimi(energy) ambaye si hitaji mwili kuwepo ninakuwa wapi kabla sijaingia kwenye mwili na jinsi ninavyo kuja kuingia kwenye mwili na kuonekana, na ninakwenda wapi baada ya mwili kufa?
Na uthibitisho wa uwepo wangu kabla ya mwili(kuonekana) na baada ya mwili ni upi?
Mleta Mada unaonekana unakitu /somo unajua hivyo unataka kutushirikisha lkn njia unayotumia kuzunguka inatuchosha.
Naomba tafakari kisha fanya maamuzi utayoona sahihi
Rudi upya
Asantee
 
Mkuu hiyo sio tafsiri ya IMANI

Hiyo ni aya kutoka kitabu kinachoitwa Bibilia “maneno matakatifu ya Mungu”
Waebrania 1:11

Nenda kwenye kamusi au dictionary ya Oxford upate tafsiri sahihi ya IMANI
Mkuu

Wewe ulichoshindwa kuelewa kwenye hiyo maana hata useme hiyo maana ya imani niliyoitoa, ni neno: "Kusadiki" au "Sadiki".

Sasa, naomba ufafanue neno: Sadiki au Kusadiki.
 
Hizi research question zinalenga kujibu swali lipi la msingi?
1. Descriptive
2. Explorative
3. Inference
4. Predictive
Weka nuru zaidi kwenye hojaji, pengine itatuongoza kujadili
None of your inscriptions.

Lengo ni utambuzi, Knowledge for/ of humanity
 
Mkuu nashukuru umeelezea asili na after life ya duniani.

Tuchukue mfano huu,
Mkono WANGU
Tumbo LANGU
Mguu WANGU......

That Wangu, Yangu, Langu, n.k. unaweza kusema ni MIMI. Swali langi siyo molecules au atoms zinazounda mwili bali Holder wa huo mwili ni nani haswa?

Tutafakari kwa kina labda tunaweza kuambulia kitu
Ni wewe

Au tuseme ubongo wako
 
Kama ni hivyo ugunduzi mpya unapatikana vipi na mahabara za ugunduzi mbalimbali zipo kwa kazi gani
Mkuu unanichosha sana kiukweli una reasoning ndogo sana

Nimekwambia hivi sayansi ni kukusanya data, kuzichakata na kuja na matokeo
Huko maabara hawagundui vitu FROM NOTHING(like your god)
Kule mahabara kwanza kunakuwa na data zinachakatwa na sio kuna NOTHING inayochakatwa, halafu ndio yanafuata matokeo(gunduzi)

You God is NOTHING.... hawezi kuchakatwa na sayansi
 
Mkuu

Wewe ulichoshindwa kuelewa kwenye hiyo maana hata useme hiyo maana ya imani niliyoitoa, ni neno: "Kusadiki" au "Sadiki".

Sasa, naomba ufafanue neno: Sadiki au Kusadiki.
Mkuu tusirembe sana tafsri ya maneno, ili tusiwe bias hebu turejee kwenye kamusi HURU
👇👇
 

Attachments

  • 374CC9C0-18A4-410D-B39A-2CD161317869.jpeg
    374CC9C0-18A4-410D-B39A-2CD161317869.jpeg
    89.9 KB · Views: 6
Kwanza kabisa mkuu wewe au mimi kabla ya uhai(life) tulikuwa ni unit of energy zinazo float aimlessly in a state of slumber zikitafuta a new opportunity ku experience life hapa duniani.

Sasa inapotokea mimba inatungwa(yaani sperm na yai kuunganika). Energy inayokuwa interest na hao wazazi ndio inachagua mimba ya kuwa associate nayo(ni kumaanisha wewe ndio unachagua mzazi atayekuzaa ila hauchagui moja kwa moja bali involuntary(yaani kuna Supreme power inayokuchagua wewe kati ya energy nyingi) lakini pia inatokana na karmik circumstance kuwa alike kati yako na wazazi wako. Hapa ni kusema, cause - effect (karma) ya wazazi na wewe ndio itakayovutia uwe associated na hiyo mimba(uingie kama nishati ya uhai).

Baada ya mimba kutungwa some studies zinasema ni baada ya miezi mitatu, zingine zinadai ni after conception energy inakuwa associated na kiumbe kilichopo tumboni na hapo ndipo kinabeba uhai.

Baada ya maisha ya duniani, huyu mtu anatengana na mwili anarudi alipotoka anakuwa katika state ya awali kama alivyokuwa kabla ya kuzaliwa yaani anakuwa na uzima ila hana uhai na anakuwa ni kama mtu anayeota njozi.
Uthibitisho ni mfano ulipokuwa tumboni kwa mama je, unakumbuka chochote? Jibu ni hapana.

Life(uhai) means consciousness, hivyo ili mtu atimize kusudi lake la kuwepo duniani ni lazima awe na chombo(mwili) wa kukuwezesha kufanikisha mambo katika ulimwengu wa physical, astral and mental plane kwa kipindi cha muda maalumu.
Duuuh
 
Kama hakipo kwanini una FORCE kipo?
Kwahiyo tuamini(tukubali tu) UPUMBAVU wowote ambao HAUPO na hauthibitiki kama upo kwa kigezo kwamba Sayansi bado haijagundua?

Ndio maana tunasema kwenye IMANI kuna UJINGA mwingi sana kwasababu KILA KITU KINAWEZEKANA kwenye IMANI
Hatakama jambo HALIPO na uwezekano wakuwepo haupo lakini kwenye IMANI “lipo”
Science doesn’t work that way

IMANI itabaki kuwa IMANI unless hujui maana ya IMANI
Mtume anaposema mfia dini anakwenda kupewa mabikira 72 au Yesu anaposema watakao muamini hadi kufa watakwenda kula naye bata milele, au Vikings wanaoamini ukifa vitani na shoka mkononi unakenda kula bata Valahala, na kuna mamilioni ya IMANI kama hizi........... science has nothing to do with this kind of stupidity

Sayansi ina deal na mambo yaliopo. sayansi haishughuliki na hekaya za kusadikika
Samahi bro nataka kuuliza tu

Kwani kitugani kisayansi hakiwezekani
Kama hakipo kwanini una FORCE kipo?
Kwahiyo tuamini(tukubali tu) UPUMBAVU wowote ambao HAUPO na hauthibitiki kama upo kwa kigezo kwamba Sayansi bado haijagundua?

Ndio maana tunasema kwenye IMANI kuna UJINGA mwingi sana kwasababu KILA KITU KINAWEZEKANA kwenye IMANI
Hatakama jambo HALIPO na uwezekano wakuwepo haupo lakini kwenye IMANI “lipo”
Science doesn’t work that way

IMANI itabaki kuwa IMANI unless hujui maana ya IMANI
Mtume anaposema mfia dini anakwenda kupewa mabikira 72 au Yesu anaposema watakao muamini hadi kufa watakwenda kula naye bata milele, au Vikings wanaoamini ukifa vitani na shoka mkononi unakenda kula bata Valahala, na kuna mamilioni ya IMANI kama hizi........... science has nothing to do with this kind of stupidity

Sayansi ina deal na mambo yaliopo. sayansi haishughuliki na hekaya za kusadikika
Vipi kuhusu hekaya ya bing bang?
 
Back
Top Bottom