mama watoto wengi
Member
- Jan 9, 2013
- 39
- 30
Habari zenu wanajamii forum mie ni dada wa miaka 34 ni mfanyakazi wa private organisation mojawapo ya mikoa yetu ya Tanzani.
Napenda kujitokeza hapa kutafuta mwanaume ambae yupo serious na anahitaji mwenzi wa maisha ,elimu yangu ni ya chuo kikuu mimi ni mrefu ila sio mnene sana wa kawaida.
Nitashukuru kuwasiliana na watu ambao wako serious na wenye hitaji kama langu .
Asanteni.
Napenda kujitokeza hapa kutafuta mwanaume ambae yupo serious na anahitaji mwenzi wa maisha ,elimu yangu ni ya chuo kikuu mimi ni mrefu ila sio mnene sana wa kawaida.
Nitashukuru kuwasiliana na watu ambao wako serious na wenye hitaji kama langu .
Asanteni.