Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,183
- 19,799
usikate tamaaHana sijapata
usikate tamaaHana sijapata
Yeye shida yake ni mshahara, mume anasema sitaki upate tabu mke wangu ya kutumikishwa nakulipa mshahara kila mwezi na stahiki zako zote kama mke utazipata,shida ipo wapi?Hivi ulivyojibu tu unaonyesha wewe bado kijana Mkuu! Katika ajira na mambo anayoweza kufanya huyo binti hapo juu ameainisha ajira ya ndoa?
Kuna mtu ukisema hivyo anakuja juu utafikiri umemwambia yeye ndiyo aolewe!njoo PM natafuta mke mchapakazi
😂😂😂 mtego wa mwasibu huoDuuh Rosedory Charles ukitoboa salama ushukuru Mungu
Una haki ya kufanya unachoona kinafaa zaidi ila kuwa makini na wale wanaojitia kukutia moyo uwa wanaanziaga mbali.Hapana asante
Bora umeona hilo mkuu kuna watu wana hasira sanaKuna mtu ukisema hivyo anakuja juu utafikiri umemwambia yeye ndiyo aolewe!
Unahubiri chuki za wazi kabisa baina ya ME na KE huoni vibaya?Yaani kwakuwa mdada ndio mnamshobokea, heri kumsaidia mwanaume mwenzangu aisee.
Mwanamke asaidiwe na mwanamke mwenzake, akisaidiwa na mwanaume anaona ni haki yake na mwisho wa siku atakuona una shobo.
Mwanamke hana cha kumpa mwanaune zaidi ya sehemu zake za siri ambazo Tandika unaweza kuzipata hata kwa buku.
Hakuna mwanaume aliyemsaidia mwanamke baadaye asijutie uamuzi wake.
InagomaKama kweli upo serious nitumie namba zako pm pia nitakuuliza baadhi ya maswali. Sihitaji hata shilingi 0 yako wala mwili wako na pia sihitaji kukuona wala unione. Kuna vitu nikijiridhisha nitakusaidia. Una urefu futi ngapi?
Mshana naomba namba yko kakaNakuombea Rosedory Charles
mkuu kazi gan hiyo tupeane connectionBaada ya Ramadan qareem Kuna kazi huko arabuni Oman utaweza kwenda kwa waarabu
5.5Una urefu futi ngapi?