ako me maste
Member
- Jul 23, 2012
- 60
- 17
Nafikiri kukuta mtu anakula au watu wanafanya biashara ya chakula ni mojawapo ya majaribu ambayo unatakiwa kupambana nayo katika kipindi hiki cha mfungo so kukuta mtu anakula au anakunywa au anfanya biashara ya chakula just ignore it na uendelee na mfungo wako. No sweet without sweat. Take it easy guys.