zethumb
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 610
- 137
wewe kula hovyo tu hadharani.utapokamatwa na kuandikiwa charge sheet ndo utagundua vipengele ! We hujui zanzibar ni nchi ndani ya muungano ?
tanzania ni moja hakuna cha zanzibar ni nchi ndugu, hicho ni kimkoa kama simiyu vile. Kaka wa kula hadharani wewe hawatakufikisha mahakamani watakutandika viboko mpaka ukome unacheza na watu waliouumbwa kwa ajili ya dili na siyo dini kwa ajili yao?! Ukitaka kuishi vyema eenenda sawasawa na jamii hiyo inavyoenenda, ukihisi njaa kaa chumbani kula ueendeleee na mambo yako. Kuna waislamu wengi wanafunga kwa sababu qu'ran imesema hivyo ila hawapendi.