thespecialone
Senior Member
- Sep 20, 2012
- 130
- 34
Mfano wa ngumu ulotoao umejidhalilisha bwana Nchemba.!kiutu uzima ni sawa na unanunua ugomvi,unamdharau mwanaume mwenzio! Zaidi ya kupiga kelele majukwaani mimi binafsi sijui unafanya nini..,ivi iko siku wanao watakaa na kusema we r proud of our father? Kwamba umejenga nchi? Au umeleta amani kwa watu? What legacy r u going to liv behind? We r remembered by values we uphold,values of love ,respect n unity..what r ur values Mr Nchemba? Sit down n think.,all these u do zinakupeleka wapi? Kisiasa hutakua..wewe bado mchanga sana..refocus ur strategies..,kwa mtindo wa siasa zako hutofika kokote..u can only brag to fools n we aint one! I hate you...I hate you wt all my heart...the love I have for my country is the hate I v for you...unarudisha nyuma nchi yetu na amani yetu...remember..we.the youth..we will take over this country..remember..we are watching you...