Naona wamepania kutumia watoto kutengeneza pesa. Kwanini wafanye mimba ni kitu cha ajabu. Tanzania kuna watu mamilioni ambao wote wamezaliwa na wanawake. Wangeichukulia mimba jinsi wanavyofanya hao mabinti sijui kama hii nchi ingekalika. Mimba kutoka ni kitu cha huzuni huna haja ya kushirikisha Tanzania nzima.Naona imeingia fashion ya kubeba mimba kwa mastaa wetu. !