habarini wapendwa marafiki. napenda kujuzwa ni vitu VP vinavyoweza kufanya mimba ya chini ya miezi mitatu kuharibika. vilevile napenda kujuzwa kama kuna vipimo vinavyo detect mwanamke kuwa na uwezo wa kushika mimba. NAWASILISHA
1.kama mimba iliyotungwa inamapungufu lazima itoke...2.matumizi ya madawa makali.....3.ufanyaji wa kazi nzito ikiwemo kuinama inama....4 msongo wa mawazo
Mimba yangu changa ya miezi miwili na nusu iliharibika baada ya kutumia asali mbichi, sasa hivi ningekuwa napakata mtoto mchanga mikononi mwangu. Ila nilijifunza ya kuwa sitakiwi kulamba asali au kutumia ktk mkate ikiwa una mimba chini ya miezi mitatu. :A S cry:
Sijui ni kwanini asali safi mbichi ikitumiwa hutoa mimba ya chini ya miezi mitatu, naomba wataalamu watusaidie ktk hili!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.