Millard Ayo Unaboa Kinoma

Hapana aisee cloud ni wapuuz sana mi binafsi sijawah sikiliza radio hiyp..ni RFA mwanzo mwisho
WHAT? Hujawahi kuisikiliza halafu tena unasema ni wapuuzi?! How did you know kwamba ni wapuuzi wakati huwasikilizi? Au una-conclude kwamba ni wapuuzi kwa maneno ya kusikia hapa jamvini? Dah... kwahiyo best kwako ni RFA... am speechless; sisemi sijawahi kuisikiliza hiyo RFA lakini kusema ni best kuliko Clouds napata taabu kidogo manake sidhani hata kwenye suala la kupata matangazo, RFA wanawafikia Clouds.
 
WHAT? Hujawahi kuisikiliza halafu tena unasema ni wapuuzi?! How did you know kwamba ni wapuuzi wakati huwasikilizi? Au una-conclude kwamba ni wapuuzi kwa maneno ya kusikia hapa jamvini? Dah... kwahiyo best kwako ni RFA... am speechless; sisemi sijawahi kuisikiliza hiyo RFA lakini kusema ni best kuliko Clouds napata taabu kidogo manake sidhani hata kwenye suala la kupata matangazo, RFA wanawafikia Clouds.

Nielewe vzur kwanza...usipoisikiliza kwa muda mreeefu let say 3 years ni sawa na kama hujawahi kuisikilza maana programme nyng hata baadhi ya presenter may be watakiwa hawapo,nlimaanisha hvyo. Pili ubora wa radio station unapimwa na mini ndugu?
 
Nielewe vzur kwanza...usipoisikiliza kwa muda mreeefu let say 3 years ni sawa na kama hujawahi kuisikilza maana programme nyng hata baadhi ya presenter may be watakiwa hawapo,nlimaanisha hvyo. Pili ubora wa radio station unapimwa na mini ndugu?
Hilo la muda gani hujasikiliza, niliache na nije kwenye ubora unapimwa kwenye nini! Ubora wa radio station pamoja na mambo mengine unapimwa kutokana na mpangalio wa vipindi vyake pamoja na watangazaji wanaoondesha vipindi hivyo... ubora huo ndio utakao-determine idadi ya wasikilizaji. Wafanyabiashara biahsra ndio wanao-anticipate ni radio ipi ndio ina wasikilizaji wengi... Zipo some exceptional lakini by rule of thumb, wafanyabiashara wanapeleka matangazo kwenye zile stations ambazo wanaamini zina wasikilizaji wengi. Kutokana na coverage ya RFA v/s Clouds, ingetarajiwa RFA iwe na matangazo maradufu kuliko Clouds but sidhani hata kama kuwafikia wanawafikia!

All in all, kuna some official data... for three years, Clouds imekuwa ndio Super Brand radio station in TZ na hata mwaka huu ilipotolewa list ya radio station bora Afrika, ni Clouds pekee ndio imetokea kwenye list from TZ huku ikishikilia namba 7 kama sikosei. Sitaki kuamini kwamba wale wandugu wa Super Brand hawapo makini na tathimini yao na hata wale wanaotoa best radiio stations in Africa nao ni wakurupukaji! However, hata kama hao jamaa wasingeipa Clouds hiyo status, bado kwangu ingekuwa ni best.
 
Hapana aisee cloud ni wapuuz sana mi binafsi sijawah sikiliza radio hiyp..ni RFA mwanzo mwisho

sasa hujawahi kusikiliza upuuzi wao umeujuaje??? hear say??? mkumbo???!! kila redio ina vipindi vizuri na vibaya...mimi huwa nasikiliza choice fm tu kwenye gari nje ya hapo sina muda wa kusikiliza redio kabisa
 
sasa hujawahi kusikiliza upuuzi wao umeujuaje??? hear say??? mkumbo???!! kila redio ina vipindi vizuri na vibaya...mimi huwa nasikiliza choice fm tu kwenye gari nje ya hapo sina muda wa kusikiliza redio kabisa



Nielewe vzur kwanza...usipoisikiliza kwa muda mreeefu let say 3 years ni sawa na kama hujawahi kuisikilza maana programme nyng hata baadhi ya presenter may be watakiwa hawapo,nlimaanisha hvyo. Pili ubora wa radio station unapimwa na mini ndugu?
 
Hilo la muda gani hujasikiliza, niliache na nije kwenye ubora unapimwa kwenye nini! Ubora wa radio station pamoja na mambo mengine unapimwa kutokana na mpangalio wa vipindi vyake pamoja na watangazaji wanaoondesha vipindi hivyo... ubora huo ndio utakao-determine idadi ya wasikilizaji. Wafanyabiashara biahsra ndio wanao-anticipate ni radio ipi ndio ina wasikilizaji wengi... Zipo some exceptional lakini by rule of thumb, wafanyabiashara wanapeleka matangazo kwenye zile stations ambazo wanaamini zina wasikilizaji wengi. Kutokana na coverage ya RFA v/s Clouds, ingetarajiwa RFA iwe na matangazo maradufu kuliko Clouds but sidhani hata kama kuwafikia wanawafikia!

All in all, kuna some official data... for three years, Clouds imekuwa ndio Super Brand radio station in TZ na hata mwaka huu ilipotolewa list ya radio station bora Afrika, ni Clouds pekee ndio imetokea kwenye list from TZ huku ikishikilia namba 7 kama sikosei. Sitaki kuamini kwamba wale wandugu wa Super Brand hawapo makini na tathimini yao na hata wale wanaotoa best radiio stations in Africa nao ni wakurupukaji! However, hata kama hao jamaa wasingeipa Clouds hiyo status, bado kwangu ingekuwa ni best.

boss usipoteze muda...makampuni yote makubwa,baadhi ya wizara za serikali,ngo,tigo,voda,airtel,zantel amabo ndio simu mnazotumia na hela yenu ya vocha ndio inaenda clouds kwenye matangazo......kwanini wanapeleka matangazo yao kwa wapuuzi????. tena hawa wengi wanaopiga kelele wameajiriwa huko huko kunakopeleka hela clouds...hapa ni porojo tu na ndio maana kila siku hapa watu wanakuja na thread clouds this clouds that at the same time mtu huyo anasema hasikilizi clouds sasa huo upuuzi sijui anaujuaje....kila redio ina mapungufu yake
 
Nielewe vzur kwanza...usipoisikiliza kwa muda mreeefu let say 3 years ni sawa na kama hujawahi kuisikilza maana programme nyng hata baadhi ya presenter may be watakiwa hawapo,nlimaanisha hvyo. Pili ubora wa radio station unapimwa na mini ndugu?

sijui nielimishe....ingawa sijasema clouds ni redio bora coz sijui.
 
Ila Millard huwa anajitahidi ukilinganisha na hao wengine..........

hayo mapungufu machache unayoyasema anaweza rekebisha tu
 
what happened to Amplifier we used to listen maana naona jamaa siku hizi story zake ni za kidaku and all about Diamond Platnumz....mara Diamond this mara Diamond that ungese mtupu come on Millard give us break siku hizi kipindi chako kinaboa kinoma ndio maana ikifika saa moja na tune kipindi cha The Cruise cha East Africa Radio.....nimebakiwa na vipindi vitatu tu Clouds Radio...Power Breakfast, XXL, Jahazi na Sports Extra na kile So So Fresh cha madafada Fetty

tatizo lako liko hapa wala sio Millard Ayo
 
Back
Top Bottom