Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
Kumekucha ccm Sumaye,Kusila,Makongoro ....... Wote wanalia FOUL.
Problem wanzisema baada ya Kushindwa.......... UPUUZI MTUPU!!!!
Kumekucha ccm Sumaye,Kusila,Makongoro ....... Wote wanalia FOUL.
Kumekucha ccm Sumaye,Kusila,Makongoro ....... Wote wanalia FOUL.
Kama ni za ukweli na uhakika mbona unasema mzee flani? kwanini usiwataje majina. Ni kitu gani unachokiogopa kuwataja majina?
Kama unashindwa kuwataja majina inamaanisha huna ushahidi ni majungu tu
ukiona mtu anajiumauma ujue ni mzee wa kunzia miaka 55 kwenda juu. ni waoga kupitiliza. wengi wao wanaiogopa ccm kuliko hata MUNGU.wamejazana huko usidhani wana mapenzi ya dhati kumbe ni wanafiki tu.vijana nchi hii ni yenu, ukweli tu ndio utawaweka huru.tumefika hapa kwasababu ya undumila kuwili,kuweni huru, mwizi na aitwe mwizi, mla rushwa na atajwe na chama kinacho boronga na kipigwe chini.mZEE FLANI AU lOWASSA??ACHENI KUZUNGUKA MBUYU WANDUGU
Shilingi milioni mia tatu {300mil} zatumika na wana mtandao ili kumwangusha mtoto wa rais wa kwanza wa Tanzania.
Inaelezwa kuwa kura moja ilinunuliwa kati ya shilingi, kisa cha kumchezea mchezo huo mchafu ni tukio kilichotokea mwaka 2005 katika uchaguzi mkuu,ambapo baadhi ya wana CCM walimtaka Makongoro amkane ndugu yake ambae wakati huo alikuwa akigombea ubunge kupitia upinzani. Jambo ambalo Makongoro alilipinga vikali na kuwajibu kuwa hawezi kumkana ndugu yake huyo kwa sababu za kisiasa wana CCM hao walimjengea hasira na kuamua kumsulubisha. Na kali ya mwaka ni hii. Hili limatokea Arusha,baada ya uchaguzi wa CCM uliofanyika katika hoteli ya Naura Spring ambao ulikuwa chini wa mzee flani.
Baada ya uchaguzi ule kufanyika kwa mafanikio makubwa mzee flani huyo aliwachukuwa wazee wa CCM ambao walionekana kuwa naye bega kwa bega katika kumsafishia mzee flani huyo njia ya kwenda ikulu na kuwapeleka mapumzikoni katika hifadhi ya Tarangire kwa siku tatu. Habari hizi nimezipata toka kwa mzee mmoja ambae na yeye alikwenda katika mapumziko hayo ya siku tatu. Chai ya asubuhi, ya saa nne, chakula cha mchana na usiku,malazi kuwalipa maguide pamoja na magari na kiingilio kwenye hifadhi, gharama zote hizi zilikuwa chini ya mzee flani huyo.
Mzee huyo anasema walikula na kunywa kadiri watakavyo na mwisho wa safari walipewa bahasha kila mmoja.
Habari hizi ni za kweli na uhakika.
Shilingi milioni mia tatu {300mil} zatumika na wana mtandao ili kumwangusha mtoto wa rais wa kwanza wa Tanzania.
Inaelezwa kuwa kura moja ilinunuliwa kati ya shilingi, kisa cha kumchezea mchezo huo mchafu ni tukio kilichotokea mwaka 2005 katika uchaguzi mkuu,ambapo baadhi ya wana CCM walimtaka Makongoro amkane ndugu yake ambae wakati huo alikuwa akigombea ubunge kupitia upinzani. Jambo ambalo Makongoro alilipinga vikali na kuwajibu kuwa hawezi kumkana ndugu yake huyo kwa sababu za kisiasa wana CCM hao walimjengea hasira na kuamua kumsulubisha. Na kali ya mwaka ni hii. Hili limatokea Arusha,baada ya uchaguzi wa CCM uliofanyika katika hoteli ya Naura Spring ambao ulikuwa chini wa mzee flani.
Baada ya uchaguzi ule kufanyika kwa mafanikio makubwa mzee flani huyo aliwachukuwa wazee wa CCM ambao walionekana kuwa naye bega kwa bega katika kumsafishia mzee flani huyo njia ya kwenda ikulu na kuwapeleka mapumzikoni katika hifadhi ya Tarangire kwa siku tatu. Habari hizi nimezipata toka kwa mzee mmoja ambae na yeye alikwenda katika mapumziko hayo ya siku tatu. Chai ya asubuhi, ya saa nne, chakula cha mchana na usiku,malazi kuwalipa maguide pamoja na magari na kiingilio kwenye hifadhi, gharama zote hizi zilikuwa chini ya mzee flani huyo.
Mzee huyo anasema walikula na kunywa kadiri watakavyo na mwisho wa safari walipewa bahasha kila mmoja.
Habari hizi ni za kweli na uhakika.